Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Kama kuna mwanafunzi anayesoma chuo cha mipango dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Mkuu,
Tafuta contact za hicho chuo, uliza utawala kama wanafunzi wapo field muda huu. Kutokana na majibu utakayopata utajua kama dogo ni mkweli au la
 
Ulikuwa dodoma,ulishindwa nini kufika chuoni na kuupata ukweli?
Ulishasema ni likizo mbona tena unasema anadoji vipindi
Kinachokuumiza sio kusoma ila ni mawazo ya kuliwa kwa sista ako,je yule ni mtoto unamchunga(ungekaa naye kwako)
Mwisho
Jifunze kupotezea mengine sio kila kitu akupe taarifa,japo haijakaa poa lakini jitahd i kuyapotezea
N.B miaka ya 2015 UDOM sina kumbukumbu sana wanachuo walienda kujirusha mwanza bahati mbaya wakapata ajali,kiukweli haikuwa nzuri kwa wazazi maana mzazi anajua mtoto yupo dodoma ila taarifa za kifo zinatokea mwanza
Ila mkuu usinipopoe kweli inauma jamani
Kwaniaba ya Mtoa uzi......WEWE NI KANAKAKE KAJINGA.


KATAAA KUBALI.
 
Hii mada imenikumbusha kuhusu kabinti flani hivii kalikua kanasoma UD, kametokea kwao Moshi. Nilichakata papuchi hadi nikaikinai. Kakipigiwa simu kwao kanavyowaongopea sasa[emoji23][emoji23]
Sijui hata Sasa kako wapi
Kuna kingine nilikua nako kalikua kanasoma chuo cha St.Joseph kule kibamba. Weeeh nilikafundisha raha zote, ilikua mwendo wa kuchakatana tu na UE ikifiika kanapata Supp.
 
Hii mada imenikumbusha kuhusu kabinti flani hivii kalikua kanasoma UD, kametokea kwao Moshi. Nilichakata papuchi hadi nikaikinai. Kakipigiwa simu kwao kanavyowaongopea sasa[emoji23][emoji23]
Sijui hata Sasa kako wapi
Kuna kingine nilikua nako kalikua kanasoma chuo cha St.Joseph kule kibamba. Weeeh nilikafundisha raha zote, ilikua mwendo wa kuchakatana tu na UE ikifiika kanapata Supp.
😂😂st joseph mwaka gan mkuu??
 
pole mimi dogo alikuwa udom mwaka wa kwanza kaenda kuanza, kwakuwa tulikuwa tunambana sana nyumbani basi alipoenda chuo kaenda kujiachia mwisho kapata mimba, kaenda kutoa ikagoma akataka kufa tukamsaidia kapona. Alipopona likizo ya kwanza karudi nyumbani wote wamegoma kumlipia ada kabaki nyumbani sasa hivi kaenda kwa aliyempa ujauzito wanaendelea na maisha.

Hapo nyuma alikuwa anatudanganya wameenda kihuduma za kiinjili mara singida, mara mwanza mara morogoro kumbe alikuwa anapelekwa na wababa wake huko. Hadi kesho chuo kimesimama tangu mwaka jana kaambiwa mume wake amsomeshe sisi kama wazazi tumeishia hapo. Kuwa makini nawe ndugu yangu
Kuna mademu nimesoma nao chuo na hawajamaliza wameishia kurudi nyumbani na watoto, yaani demu ana pata mimba akiwa chuo anailea mimba bila home kujua kwa sababu anakwepa kurudi likizo anajifungua, ana disco au anamaliza frssh na mnashangaa anaingia siku home na kid😂😂wengine wanajifungulia hostel ni noma vyuo kuna mambo mengi sana, uyo atakuwa nje ya dodoma au umo umo dom vacation au ata hayupo kwenye hali ya kawaida
 
Dah.....binti mkubwa huyo....usimfuatilie sana.....Cha msingi msisitize mara kwa mara.....aslan asisahau ndom ....muhimu sana kwa maisha yake ya baadaye🤭
 
Tulia tuichakate papuchi yake.
Ila wanafunzi wa vyuo vya Dodoma wanatiwa aisee. Sijui ni ugumu wa maisha su nini.
Kote ni hivyohivyo sema Dodoma mji mdogo ni rahisi kujulikana, kingine watumishi single ni wengi.
 
itakuwa Ni kweli yuko field, kwa maelezo zaidi fika chuoni,, bado vipo vijiji mtandao unasumbua Sana, lakini km wewe ndo unaemlipia ada ni kwanini hakukujuza hiyo field kabla!!!
 
Haja safir popote..washambebesha mimba ....ameogopa tu kuonana na ww maana utaanza muuliza mara mimba ni ya nani
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Wanafunzi wa mipango baadhi hawapo chuo, wamesambazwa baadhi ya wilaya za hapa dodoma.
Na bahati mbaya maeneo mengi ya wilaya hasa bahi,kondoa na kongwa mtandao huwa changamoto.

Ushauri wangu,kabla ya kuhukumu jiridhishe KWA uongozi wa chuo.
Hapa jukwaani utapigwa ganzi SANA
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.

Inawezekana na shida ni malezi yenu, sioni namna mdogo wangu anaweza kuthubutu kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom