Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

Ningekuwa me ndo ww ningeenda pale chuoni ukweli ningepata tu kupitia wanafunzi walioko hapo chuoni kama kweli wameenda field au anagawa mbususu tu uko
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma chuo cha mipango dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Acha mdogo wako aukalie huko aliko, maisha menyewe haya mafupi tu, na tutazikwa nazo.
 
Kuna mwamba analoweka utambi kwenye mbususu ya dogo hapo hapo dodoma
 
Ungeenda chuo kuulizia...maana wanachuo hata kuolewa wanaolewa kwa muda huko
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma chuo cha mipango dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
unakwama wapi baharia, ungeenda maeneo ya chuoni ungepata jibu mapema sana
 
Kama kuna mwanafunzi anayesoma chuo cha mipango dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM).

Sasa jumamosi hii nilikuwa katika huo mji mkuu wa serikali nikasema nimpigie simu ili nipate kumkaribisha mahali apate chakula cha mchana na jioni kupokea hakutaka ila akanitext kwamba ana emergence kasafiri kaenda wilaya ya jirani kwa field? na sehemu alipo hakuna network nzuri bora tuwasiliane kwa text.

Alivyotaja FIELD akili yangu ikagutuka kidogo maana miaka yetu field huwa tunafanya mwishoni mwa semester, kengele ikanijia kichwani huwenda huyu mdogo wetu ndio keshaanza kuitembea Tanzania na viunga vyake akiwa hapa dodoma pamoja na wabab wa watu.

Na isitoshe huyu mdogo wetu tunatumia gharama nyingi kumsomesha kwa kweli hata ile morali ya kujiachia nikiwa dodoma ikapotea maana nilikuwa na mawazo mengi kichwani moja wapo ni kuwa huwenda kuna kibaba cha mtu kimemsafirisha mkoani ukitegemea wiki ilikuwa na likizo ndefu kidogo takribani siku nne kupisha sikukuu ya pasaka.

Hivyo nimekuja humu ndani kupata ukweli, hasa ukitegemea JF imesheheni watu wa aina mbalimbali na katika nyaja tofouti tofouti huwenda wakawa na ABC,s kuhusiana na hiki chuo ni kweli hawa wanafunzi wa mipango wameanza field katikati ya masomo, ama huyu mdogo wetu ameamua kunidanganya kuficha uchafu anaofanya pindi akiwa chuo kwa kutoroka vipindi kwenda kufanya maovu mikoani huko.

Naomba nipate ukweli kama kweli wameanza ratiba ama laah.
Mkuu ulikua dodoma nadhani maamuzi ambayo yangekusaidia kujua ukweli ungefika chuoni kuulizia ungeupata ukweli wote. Na lingine binti aliepo chuoni ni hakika kabsa kuwa ana mtu hata kama sio mbaba ila mbususu inaliwa tena mchana na usiku hivyo usivuke mipaka saana ya kumchunguza mdgo wako unayo yawaza ndio majibu. Japo kweli baadhi ya vyuo wanaenda field baada ya semister ya kwanza. Ila chunguza ada yako isichezewe bure.
 
Mtumie sms kuwa afanye mambo yake ila kikubwa ajitahidi kusoma, mwambie wewe kama mzazi unamdai matokeo na una haki ya kuyapata.

Mwanachuo tayari ni mtu mzima, kuna vitu huwezi kuvicontrol, ibaki tu kumpa ushauri kama dada.
 
Mimi mdogo wangu yup udom nilimuota akazima simu na mtu nilie mpeleka kuanzia la kwanzalk chuo nilijikuta nakunywa nyagi basi nmegeuza
 
Tulia tuichakate papuchi yake.
Ila wanafunzi wa vyuo vya Dodoma wanatiwa aisee. Sijui ni ugumu wa maisha su nini.
Nguvu za ujanani,matamanio ya mwili kumbuka ndiyo yuko kwenye her peek ya ukuaji na uhuru wa kumwaga.
 
Mambo mengine achana nayo

Umsomeshe usimsomeshe watambeba tu na watamuoa kabisa na kukutenganisha nae

Play your part mambo mengine achana nayo. Ameshakua binti watapita nae tu popote pale atakapo kuwapo
Naona umeamua kumvuruga kabisa, kwamba hakuna namna atabebwa tu[emoji3][emoji3]
 
Mimi naweza nje ya box kidogo,
Mleta mada ni mwanaume na anaye demu wake anayesoma chuo cha mipango Dodoma so,jamaa alipoenda kumtembelea demu wake Dodoma au alipoenda kwa shughuli nyingine Dodoma ajakaona ni vzr pia kama atam-check mtoto kwa hewa ili amgonge...kwa bahati mbaya ndyo akaambiwa "nipo field"

Haiwezekani ndugu yako wa damu ushindwe kumtembelea hapo chuoni (kila chuo kina utaratibu wa ndugu au rafiki kumtembelea mwanachuo hapo chuoni)

Pia,inawezekanaje mtu apatikane hewani halafu akwambie kuwa mtandao unasumbua?

Something must be wrong somewhere!
 
Back
Top Bottom