Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

PEP (post-exposure prophylaxis) means taking medicine to prevent HIV after a possible exposure. PEP should be used only in emergency situations and must be started within 72 hours after a recent possible exposure to HIV.
shukran sana , ila haihusiani na sala hilo asante
 
Bado ugonjwa haujakolea, ukikolea vizuri usingekuwa na aibu ungekuwa hosp. Angalizo, Kama ni pangusa usikae sana maana itatulia ikirudi ni inakatika.
Hapana sio Pangusa ni tatizo lingine ambalo sijajua kulitatua
 
Shoga uyo akisema hapa mtamlipua kwa matusi anaogopa.

Au amepata anorectal gonorrhoea ??
Nenda mariestopes hospitali za upinde hizo pambaf sana .

Unaandika ki sho.ga eti uwiiii?
Hapana sija pata mmambukizi ya Zinaa.
 
Utakuwa upinde wewe.

Unaogopaje kusema huku una fake ID?

Madaktari wapi ila wewe ndio shida na huwezi pata msaada kirahisi.
uNajua kuna mambo ukitaka msaada inabidi uombe na atakaye guswa ndio atakupa mshaada wa kweli nikisema niweke hapa wengi watachukulia kama ujinga na hawata nipata ushauri unaopaswa sana sana nitaambulia matusi zaidi.
 
Back
Top Bottom