- Thread starter
- #21
asante nita fanya hivyoFungua feki ID kisha umwagike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante nita fanya hivyoFungua feki ID kisha umwagike
shukran sana , ila haihusiani na sala hilo asantePEP (post-exposure prophylaxis) means taking medicine to prevent HIV after a possible exposure. PEP should be used only in emergency situations and must be started within 72 hours after a recent possible exposure to HIV.
Hapana sio Pangusa ni tatizo lingine ambalo sijajua kulitatuaBado ugonjwa haujakolea, ukikolea vizuri usingekuwa na aibu ungekuwa hosp. Angalizo, Kama ni pangusa usikae sana maana itatulia ikirudi ni inakatika.
Acha kutusumbua kama huwezi kusemaHapana sio Pangusa ni tatizo lingine ambalo sijajua kulitatua
SawaHapana sio Pangusa ni tatizo lingine ambalo sijajua kulitatua
Wewe ni mwanamke au mwanaume au upinde? Tuanzie hapo kwanza. Maneno "Tanzaman" na "Uwiii" yanakimzanaNimepatwa na mtihani mmoja mzito na sijui kinacho endele kwa sasa naomba kama kuna doctor humu asisye judge makosa ya mtu nimuelezee anipatia ushauri kwasababu ni jambo gumu kidogo kulielezea ana kwa ana.
Vipi Mkuu Choo chako cha Asili Kimezibuliwa?Nimepatwa na mtihani mmoja mzito na sijui kinacho endele kwa sasa naomba kama kuna doctor humu asisye judge makosa ya mtu nimuelezee anipatia ushauri kwasababu ni jambo gumu kidogo kulielezea ana kwa ana.
Hapana sija pata mmambukizi ya Zinaa.Shoga uyo akisema hapa mtamlipua kwa matusi anaogopa.
Au amepata anorectal gonorrhoea ??
Nenda mariestopes hospitali za upinde hizo pambaf sana .
Unaandika ki sho.ga eti uwiiii?
Nimepata ushari kwa Doctors , asanye kwa kujaliSasa si useme
Asanteni kwa ushauri ila sielewi hiyo Azuma ina saidia tatizo gani? bado na hitaji sada mkubwa wa doctor
Nitakwenda sasa kidogo hofu imeshuka baada yakuelezwa nini kinawezakuwa kimetokeanenda hospital
Choo ninapata vizuri kama kawaidaVipi Mkuu Choo chako cha Asili Kimezibuliwa?
uNajua kuna mambo ukitaka msaada inabidi uombe na atakaye guswa ndio atakupa mshaada wa kweli nikisema niweke hapa wengi watachukulia kama ujinga na hawata nipata ushauri unaopaswa sana sana nitaambulia matusi zaidi.Utakuwa upinde wewe.
Unaogopaje kusema huku una fake ID?
Madaktari wapi ila wewe ndio shida na huwezi pata msaada kirahisi.