Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

Kunywa maji ya vuguvugu kila asubuhi unapoamka

Kunywa maji kila unapotoka haja ndogo

Kunywa maji ya vuguvugu baada ya kila mlo badala ya maji baridi

Kula matunda kila siku kabla ya mlo wowote

Fanya zoezi la kukutoa jasho, hata kutembea, kila siku

Pumzika muda wa kutosha usiopungua saa 8 kila siku

Usile chakula baada ya saa 2 usiku.

MWISHO

Funga siku tatu, mara baada ya kusoma ushauri huu, kwa kula matunda na kunywa maji tu
Shukrani nita fanya hivyo na nita leta mrejesho asante sana
 
Inakua ngumu kidogo kuelezea tatizo hapa ningependelea kwa private zaidi kama itawezekana ninashukuru kwa ushauri wako pia
Wacha maneno mengi kijana, kuna memba alisha wahi kuutupia hapa na kichwa kimejaa vipele tena alikua hajanyoa na msaada alipata....☹️
 
Wacha maneno mengi kijana, kuna memba alisha wahi kuutupia hapa na kichwa kimejaa vipele tena alikua hajanyoa na msaada alipata....☹️
Kuna masuala kidogo ni magumu kuyaongelea kwnye public unajua
 
WTF UNATUMALIZIA MB ZETU BURE TUU[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]🥲🥲[emoji22][emoji22][emoji16][emoji853][emoji55][emoji52][emoji3166][emoji11][emoji58][emoji846][emoji36]
 
IMG_7849.jpg


Oi mleta mada[emoji15][emoji35][emoji35]
 
Inakua ngumu kidogo kuelezea tatizo hapa ningependelea kwa private zaidi kama itawezekana ninashukuru kwa ushauri wako pia
Kama unapendelea private...basi nedna hospital ukaonane nao ana kwa ana na hyo ndo privacy nzur zaidi
 
Back
Top Bottom