Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

Shukrani nita fanya hivyo na nita leta mrejesho asante sana
 
Inakua ngumu kidogo kuelezea tatizo hapa ningependelea kwa private zaidi kama itawezekana ninashukuru kwa ushauri wako pia
Wacha maneno mengi kijana, kuna memba alisha wahi kuutupia hapa na kichwa kimejaa vipele tena alikua hajanyoa na msaada alipata....☹️
 
Wacha maneno mengi kijana, kuna memba alisha wahi kuutupia hapa na kichwa kimejaa vipele tena alikua hajanyoa na msaada alipata....☹️
Kuna masuala kidogo ni magumu kuyaongelea kwnye public unajua
 
WTF UNATUMALIZIA MB ZETU BURE TUU[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]🥲🥲[emoji22][emoji22][emoji16][emoji853][emoji55][emoji52][emoji3166][emoji11][emoji58][emoji846][emoji36]
 
Inakua ngumu kidogo kuelezea tatizo hapa ningependelea kwa private zaidi kama itawezekana ninashukuru kwa ushauri wako pia
Kama unapendelea private...basi nedna hospital ukaonane nao ana kwa ana na hyo ndo privacy nzur zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…