Jina lipi?Zuri
La kike
Jina ni zuriJina lipi?
Hata Wasukuma kuna watoto walipewa majina kutokana na matukio yaliyojitokeza nyakati hizoMajina ya Kiafrika hutegemea na tukio na muonekano.
Mfano wamakonde waikuwa na mpango wa mtoto akizaliwa ataetoka alipozaliwa kwanza atachokiona kwanzaau atachokisiaa kwanza ndiyo jina la mtoto.
Mfano katoka ndani akaona kwanza betri, mtoto ataitwa "betili" kama kaona chupa kwanza mtoto ataitwa 'chupaki".
Mambo kama hayo.
🚮🚮🚮🚮 Punguza umbeya na kufuatilia mambo ya watu Mkuu wewe ndio off topicNje ya mada..
Jamaa alifanikiwa kukutia mimba??
Minza ni zuri mnoo 😍Jina ni zuri
Jinsia ni ya kike
Sanaaaa, nimelipenda hata mieMinza ni zuri mnoo 😍
Ni ke au me? Maana yake ni nini?Mansa
Umeharibu hapo kwa magufuliNyanjige,nyangeta,nyamayao,kibakuli,semeni,ntongela,nyanoko,nyaneko,sunche,kapeto,timbili,timbilo,aki,ukwa,okwechuku,uche,kabula,maige,komba,mmwamposa,lusekelo,mwaipaja,mwaipopo,bukuku,muhando,magufuli,suluhu,mwigulu,mwansasu,mkwawa,kawawa,kalimantoke.
Kama nitabarikiwa kupata mtoto wa kike nitampa hilo jina Inshallah 🙏Sanaaaa, nimelipenda hata mie
Tajiri unaabisha uzi 🤣🤣Mwamposa
Mabhele MaziwaKulumba= manake shukulu kwa kiswahili
Mabekho= kivuli kwa kiswahili
Nyanza= ziwa kwa kiswahili
Njile
Mayunga
Mabhele
Alileta uzi uzi hapa na sikuona updates, nimepata nafasi ya kuuliza acha niulize.🚮🚮🚮🚮 Punguza umbeya na kufuatilia mambo ya watu Mkuu wewe ndio off topic
Ya kimaasai ni haya:
Ole Sendeka
Ole midimu sirkon
Medutyeki
Metuyani
Loibanguti
Saitabau
Saimalye
Saiguran
Sikitu