FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Majina ya Kiafrika hutegemea na tukio na muonekano.
Mfano wamakonde walikuwa na mpango wa mtoto akizaliwa ataetoka alipozaliwa kwanza atachokiona kwanza au atachokisikia kwanza ndiyo jina la mtoto.
Mfano katoka ndani akaona kwanza betri, mtoto ataitwa "betili" kama kaona chupa kwanza mtoto ataitwa 'chupaki".
Mambo kama hayo.
Mfano wamakonde walikuwa na mpango wa mtoto akizaliwa ataetoka alipozaliwa kwanza atachokiona kwanza au atachokisikia kwanza ndiyo jina la mtoto.
Mfano katoka ndani akaona kwanza betri, mtoto ataitwa "betili" kama kaona chupa kwanza mtoto ataitwa 'chupaki".
Mambo kama hayo.