MSAADA: Nahitaji ushauri ni friji aina ipi bora kati hii HISENSE au BRUHM

MSAADA: Nahitaji ushauri ni friji aina ipi bora kati hii HISENSE au BRUHM

Nilifanikiwa kupata aina ya Hisense kulingana na ushaur na pesa niliokua nayo..

Kwa mujibu wa muuzaji anasema yanayotoka South Africa ni mazur kuliko China..capacity yake ni kama 210L iv

Changamoto nimeanza kuona juz hapa baada ya wife kuanza kugandisha mabarafu,aisee linachukua siku mbili hadi upate barafu ilio ngumu..sasa najiuliza sijui ni joto la hapa siku za katkat au uwezo wake tu ni mdg!!
Umepigwa ninalo la Hisense ukiacha masaa matano tu unakuta barafu .

Uzuri ni umeme wa kawaida na linapiga kazi mwaka wa 3 huu,kama unataka kugandisha tafuta deep freezer.

Kingine Hisense anakupa kitu unapendq mzee wa kucopy kaja na yale yenye wifi kama samsung.
 
Boss ni mwaka wa sita unakwenda sijanunua gesi kujaza wala usumbufu wowote linagandisha mpaka kila usiku nazima br utanikumbuka wakati ni sasa
 
Wakuu salaam,
Nahitaji kununua friji kwa bei ya hizi zetu watu wa hali ya kawaida,sasa ktk pita zangu nimeona angalau HISENSE na BRUHM ni bora kidg kulingana na pesa niliyonayo

naomba ushaur je ipi ni bora kati izo ya izo mbili hapo

je zile za condeser nje yaan nyuma ya friji na zile zilizosukwa ndan ipi ni bora

Najua wapo wataalam au baadhi yao waliowahi kununua aina izo hapo juu,mnaweza nipa ubora au changamoto zake..

nimeona vizur kuuliza kabla ya kufanya ujuaji mwisho nipigwe bure...

asanten
BRUHUM hutajutia mwaka wa kumi hata sijui chakujaza gesi wala kugusa spana na naitumia
kwenye biashara
 
Hizo kampuni ulizotaja sijui ubora wake ila kama friji ni mpya nadhani inaweza kuishi muda mrefu bila kusumbua kuliko ya mtumba. Mimi nilipata sumsung kutoka Samsung dealers. Ina miaka saba. Bado mpya inatumia umeme kidogo sana. Ina settings inafanya kazi jinsi wewe unavyotaka.
 
BRUHUM hutajutia mwaka wa kumi hata sijui chakujaza gesi wala kugusa spana na naitumia
kwenye biashara
Binafsi nina mwaka wa 5 nilununua BRHÜM wala halina tatizo lolote na linagandisha haraka umeme inatumia kidogo sana, hiyo ni mjeruman aliyeenda kujiwekea kiwanda China.
 
Katika top Level ungeuliza kati ya Samsung vs LG, ningekuambia Go for LG all days,

Katika Mid Range,
Ningekushauri Haier, Midea, Hisense, Von, Westpoint....
 
Kama utafanya tathmini kwa kuangalia Quality pamoja na Gharama, Ni bora tu uchukue fridge used!
Fridge used kuanzia kwenye ubora hadi design ni zipo vzuri sana!
20240704_132511.jpg
20240704_154305.jpg
 
Back
Top Bottom