Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Wasalaam wakuu,

Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.

Ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya Mji Mwema Kigamboni. Mara ya kwanza kukutanisha macho yetu nilihisi Moyo wangu ukiniambia kitu. Moyo wangu ulizungumza tamaa, tamaa juu ya umbo la mtoto yule wa kichaga. Nikatamani kumpata na kumfanya wangu kwa kipindi kirefu kwa kuwa alikuwa anavutia sana.

Kwa kuwatumia washkaji hasa mtoto wa mwenye nyumba yangu nikafanikiwa kumpata mtoto huyu na kitu ambacho kilinivutia ni pale tulipoongea siku ya kwanza tukiwa wawili akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

Baada ya tukio hilo mapenzi yakazaliwa huku tukipeana na wakati mwingine akijakuchukuliwa na magari kisha kurudishwa asubuhi. Niliendelea kuvumilia hali ile kwa kuwa nilijiwekea kwamba napiga kwa muda kisha nasepa lakini sasa naona nimedata naye amenasa. Kumuacha nashindwa na yeye kuacha UCHANGUDOA hawezi. Kuna wakati alikuwa akitishia kujiua iwapo angenifumania na kikubwa anasema ameshafanya matukio makubwa ya kucharanga viwembe wanawake wenzie.

Hilo linanitisha na kunisumbua ni kweli ni mzuri, ni kweli ni fundi kiasi chake. Lakini bado ni muuzaji na kibaya zaidi najua kuwa anajiuza. Jana nilijaribu kuongea naye lakini mwisho wa siku akaangukia kwenye kunipa penzi. Nilijikuta nikisahau hata kuendelea kumuuliza. Tuliagana vizuri baada ya mechi na kuniambia kuwa anakwenda kulala, lakini cha ajabu nimeamka asubuhi namuona akishushwa na gari akiwa na mizigo. Moyo unaniuma, nimeamua kumnunia lakini siwezi kwa kuwa nampenda sana.

MSAADA KATIKA HILI
Wewe ni mwanaume wa ajabu sana.Si kawaida mwanaume kujua kwamba mwanamke ana mwanaume mwingine na bado akaendelea naye, hata kama si changudoa,sembuse changudoa. Hivi huoni kinyaa. Inashangaza sana.Huogopi ukimwi, maana uko nje nje.Acha ujinga wewe,tafuta mke uoe,vinginevyo utakufa na ukimwi.Wazuri wako wengi.
 
Iliwahi kunitokea zamani sana mkuu cha kufanya hapo kuwa na moyo mkuu mpe mapenzi yako yote na kuwa mwanaume kwake usimkaripie mwambie anakuumiza na anavyofanya,mwambie unataka uwe mwanamme wa mwisho kwake halafu ukiona anashushwa usijifiche tokeza akuone atapunguza na atakupenda zaidi ya hapo mwisho wa siku anaacha,na kung'ang'ana na wewe, hakuna mwanamke asiependa akiona upendo na akitimiziwa anachotaka.
Mhh! hii sasa Bongo Movie
 
Wanaume wanaume... Hahahaaha bora cc mama yetu kipofu ila nahs wenu ana kengeza
 
Wasalaam wakuu,

Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.

Ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya Mji Mwema Kigamboni. Mara ya kwanza kukutanisha macho yetu nilihisi Moyo wangu ukiniambia kitu. Moyo wangu ulizungumza tamaa, tamaa juu ya umbo la mtoto yule wa kichaga. Nikatamani kumpata na kumfanya wangu kwa kipindi kirefu kwa kuwa alikuwa anavutia sana.

Kwa kuwatumia washkaji hasa mtoto wa mwenye nyumba yangu nikafanikiwa kumpata mtoto huyu na kitu ambacho kilinivutia ni pale tulipoongea siku ya kwanza tukiwa wawili akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

Baada ya tukio hilo mapenzi yakazaliwa huku tukipeana na wakati mwingine akijakuchukuliwa na magari kisha kurudishwa asubuhi. Niliendelea kuvumilia hali ile kwa kuwa nilijiwekea kwamba napiga kwa muda kisha nasepa lakini sasa naona nimedata naye amenasa. Kumuacha nashindwa na yeye kuacha UCHANGUDOA hawezi. Kuna wakati alikuwa akitishia kujiua iwapo angenifumania na kikubwa anasema ameshafanya matukio makubwa ya kucharanga viwembe wanawake wenzie.

Hilo linanitisha na kunisumbua ni kweli ni mzuri, ni kweli ni fundi kiasi chake. Lakini bado ni muuzaji na kibaya zaidi najua kuwa anajiuza. Jana nilijaribu kuongea naye lakini mwisho wa siku akaangukia kwenye kunipa penzi. Nilijikuta nikisahau hata kuendelea kumuuliza. Tuliagana vizuri baada ya mechi na kuniambia kuwa anakwenda kulala, lakini cha ajabu nimeamka asubuhi namuona akishushwa na gari akiwa na mizigo. Moyo unaniuma, nimeamua kumnunia lakini siwezi kwa kuwa nampenda sana.

MSAADA KATIKA HILI
Kujiendekeza tu mkuu,,watu wanawaacha mama zao walioanza nao from zero sembuse ww jitu umekutana nalo ukubwani tena changudoa? Na siku ukiugua ukimwi litakukimbia...nakushauri huo muda na pesa unazopoteza tumia kuwapenda ndugu zako wa damu maana ukiumwa ukimwi ndo wakukubadilisha nepi na kukutia moyo. .....malaya/ changu haolewi utasaga lami mjini hapa
 
Hii thread ya kitambo nyie mnanichana leo
 
Wasalaam wakuu,

Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.

Ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya Mji Mwema Kigamboni. Mara ya kwanza kukutanisha macho yetu nilihisi Moyo wangu ukiniambia kitu. Moyo wangu ulizungumza tamaa, tamaa juu ya umbo la mtoto yule wa kichaga. Nikatamani kumpata na kumfanya wangu kwa kipindi kirefu kwa kuwa alikuwa anavutia sana.

Kwa kuwatumia washkaji hasa mtoto wa mwenye nyumba yangu nikafanikiwa kumpata mtoto huyu na kitu ambacho kilinivutia ni pale tulipoongea siku ya kwanza tukiwa wawili akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

Baada ya tukio hilo mapenzi yakazaliwa huku tukipeana na wakati mwingine akijakuchukuliwa na magari kisha kurudishwa asubuhi. Niliendelea kuvumilia hali ile kwa kuwa nilijiwekea kwamba napiga kwa muda kisha nasepa lakini sasa naona nimedata naye amenasa. Kumuacha nashindwa na yeye kuacha UCHANGUDOA hawezi. Kuna wakati alikuwa akitishia kujiua iwapo angenifumania na kikubwa anasema ameshafanya matukio makubwa ya kucharanga viwembe wanawake wenzie.

Hilo linanitisha na kunisumbua ni kweli ni mzuri, ni kweli ni fundi kiasi chake. Lakini bado ni muuzaji na kibaya zaidi najua kuwa anajiuza. Jana nilijaribu kuongea naye lakini mwisho wa siku akaangukia kwenye kunipa penzi. Nilijikuta nikisahau hata kuendelea kumuuliza. Tuliagana vizuri baada ya mechi na kuniambia kuwa anakwenda kulala, lakini cha ajabu nimeamka asubuhi namuona akishushwa na gari akiwa na mizigo. Moyo unaniuma, nimeamua kumnunia lakini siwezi kwa kuwa nampenda sana.

MSAADA KATIKA HILI


Nina amini kuna uchawi, kama mtu haamini aje asome hii habari, ni mtu gani timamu anaiyona hatari halafu anaomba ushauri badala ya kuikimbia? Mrudie Mungu hayo matunguli yakutoke
 
siku zote huwa nasimama sana katika kile ninachokiamini lakini kwahuyu nimekuwa mpuuzi.
Wengine wanatumia madawa ndugu yangu, kulikuwa na demu huku mwananyamala, ilikuwa no kosa kwa MTU yeyote kumnyonya ulimi, (denda) hata nia yako ilikuwa no kupiga tu Mara moja na kuondoka, lakini siku hiyo ukikosea tu kumla denda basi hutachomoka hapo.
 
Baada ya miezi Sita uende ukapime Afya yako. Na kama hautakuwa umeambukizwa UKIMWI basi Ukimwi utakuwa ni hadithi ya kutungwa tu katika duniani, yaani ukimwi utakuwa haupogo duniani.
 
Back
Top Bottom