Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

[QUOTEalili79, post: 17504374, member: 118564"]Huyo wa jf mnapendana sana, still unampenda huyo mwingine zaidi ya wa jf. Inakuwaje unapenda watu wawili kwa wakati mmoja? Je, una uhusiano wowote na huyo wa jf (hasa kingono)?[/QUOTE]
Wa Jf alianza kama msaada kwangu, msaada wa kunitoa katika hili,na anajua kuwa natembea na huyu changu mpaka kesho lakini bado anaimani IPO siku nitakuwa wake. Kuhusu ngono sijawahi kushiriki naye kwa kuwa hatukuwahi kuonana zaidi ya mawasiliano tu
 
Iliwahi kunitokea zamani sana mkuu cha kufanya hapo kuwa na moyo mkuu mpe mapenzi yako yote na kuwa mwanaume kwake usimkaripie mwambie anakuumiza na anavyofanya,mwambie unataka uwe mwanamme wa mwisho kwake halafu ukiona anashushwa usijifiche tokeza akuone atapunguza na atakupenda zaidi ya hapo mwisho wa siku anaacha,na kung'ang'ana na wewe, hakuna mwanamke asiependa akiona upendo na akitimiziwa anachotaka.
 
sijawahi kutumia wala kuomba nimesimamq kwenye dini mkuu ingawa nafanya uzinifu
Hujssimama kwenye dini usingefanya uzinifu.hata hivyo dini na uchafu havikai pamoja kama vipi fans maamuz sahihi
 
Pole sana Mkuu.
Hapo ujue magonjwa na hasa ukimwi vinakunyemelea.
Umenasa vibaya. Mimi nakushauri mawili
1. Okoka
2. Ukishindwa hama haraka eneo hilo.
 
A great deal of intelligence can be invested in ignorance when the need for illusion is deep..... AFRICA???????????????????????????????????????????????????????? VS EUROPE?????????????????????????
 
Loooh, kijana unahitaji maombi si bure hii ni hatari. Tayari wewe na huyo mrembo wako mmekuwa inflicted with demons (mapepo). Huyo mwenzio ndio shida zaida inaelekea ana jina mahaba hatari kabisa. Namna ya kujinasua nenda katubu kwa imani yako unayojua ili utakaswe na ukili kutokujihusiha na mambo kama hayo. Usijifanye mjanja eti anakupatia papuchi sijui vijana mnasema hiyo ni furaha ya muda tu mwishowe ni majuto mwanzo mwisho. Mwenye masikio na asikie......
 
Anza na kuhama hapo, wanawake wapo wengi utapata mwingine
 
Iliwahi kunitokea zamani sana mkuu cha kufanya hapo kuwa na moyo mkuu mpe mapenzi yako yote na kuwa mwanaume kwake usimkaripie mwambie anakuumiza na anavyofanya,mwambie unataka uwe mwanamme wa mwisho kwake halafu ukiona anashushwa usijifiche tokeza akuone atapunguza na atakupenda zaidi ya hapo mwisho wa siku anaacha,na kung'ang'ana na wewe, hakuna mwanamke asiependa akiona upendo na akitimiziwa anachotaka.
Iliwahi kunitokea zamani sana mkuu cha kufanya hapo kuwa na moyo mkuu mpe mapenzi yako yote na kuwa mwanaume kwake usimkaripie mwambie anakuumiza na anavyofanya,mwambie unataka uwe mwanamme wa mwisho kwake halafu ukiona anashushwa usijifiche tokeza akuone atapunguza na atakupenda zaidi ya hapo mwisho wa siku anaacha,na kung'ang'ana na wewe, hakuna mwanamke asiependa akiona upendo na akitimiziwa anachotaka.
Hii inaweza kufanya kaz vizur eee?
 
Back
Top Bottom