robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
hahaaa kama nakuona vile roho ilivyokunjamana hali ukitafuna jino...!Yaani ale kuku zangu halafu nitumie gharama yote hii? Dawa hapo ni kuuzamisha mtego kwenye maji au kulitia moto kabisa, aseeeeh
njoo pm nikuongeze LIKE ya ziada maana hapa si zaidi ya moja. duu si kwa kututangaza sie wamakonde.
Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
MREJESHO:
nawashukuru kwa msaada. Paka Yule Amekufa Jana. Nilimtega na sumu ya panya Aina ya ratox packet sita, vidonge nane vya ibuprofen na vidonge sita vya indocid. Hivyo nilimpa na msosi wa Samaki.
Ahsanteni Sana.
Ukienda kumtupa mbali,kabla hujafika nyumbani kaisharudiPiriton.
Nunua piriton tano/sita, zisage kisha zichanganye na mchuzi wa nyama au samaki robo kikombe. Akinywa atalala hapohapo. Mbebe kamtupe mbali sana kama huwezi kumla.
-usiweke dawa nyingi sana au mchuzi kidogo sana atakereka na harufu, hatakula
-mchuzi uwe sontojo la maana ili kupoza harufu na ladha ya dawa. Sio umeunga mboga mafuta kisoda.
Utupe mrejesho
Ulimuua ili afe kabisa akose hata nguvu za kufika mbinguni?Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
-----------------------------------------------------------------------------------------
MREJESHO:
nawashukuru kwa msaada. Paka Yule Amekufa Jana. Nilimtega na sumu ya panya Aina ya ratox packet sita, vidonge nane vya ibuprofen na vidonge sita vya indocid. Hivyo nilimpa na msosi wa Samaki.
Ahsanteni Sana.
Fuga Mbwa mkali mkuu,Mambo ya kuua ua muachie Mungu mwenyewe.
Kwanini umuue. ..kwani wewe ndiye mwenye haki pekee ya kuishi duniani. .....yaani mtu unaongelea kuua kiumbe as if ni normal thing kweli..?