robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
hahaaa kama nakuona vile roho ilivyokunjamana hali ukitafuna jino...!Yaani ale kuku zangu halafu nitumie gharama yote hii? Dawa hapo ni kuuzamisha mtego kwenye maji au kulitia moto kabisa, aseeeeh
haya 'mapumbavu' yanaudhi. yalimtafuna kuku wangu akiwa ameatamia mayai 12, nikaishia kula hasara ya viumbe watarajiwa.