Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu

Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu

Wewe acha upumbavu hakuna sehemu yoyote duniani unaweza kumuua paka kwanjia hiyo aliyosema huyo jamaa. Labda sio paka ila kama paka hawa wanaofungwa majumbani nakushauri zitafute habari zao kwanza. Kama hujavaa mavazi yakujikinga kushambuliwa huwezi muua naukifanya kulazimisha utakufa wewe sio yeye akikuulumia sana atakuacha ukiwa kipopu.huyo viatu vyasamaki anafurahisha watu tu!ushawahi kusikia ule usemi wa paka anaroho saba?mbwa mwenyewe anaeweza kumuua paka awe mbwa kweli lakini mbwa mwenyewe anamuogopa.paka anauwa hadi nyoka unacheza napaka wewe!

Punguza jazba mkuu. Basi jamaa katudanganya maana ninavyojua mimi paka ni mwepesi sana kudhuru kiumbe chochote kinachomuwekea wenge haijalishi kiwe na ukubwa gani, yule mnyama anajiamini sana. Viatu vya Samaki siku nyingine uweke video tuamini ila sio maneno tu.
 
Tusaidiane kidogo. Sumu ya panya inaua paka Lakini mpaka uipake kwenye nyama ambayo akiila itakaa muda mrefu tumboni. Lakini ukiweka kwenye chakula chenye kuyeyuka haraka kama ugali na wali, paka hawezi kufa.
Jaribu vidonge vya Indocyn. Nyunyizia unga wake kwenye mabaki ya chakula, mabaki ya nyama ni bora zaidi. Kisha changanya , na uuweke mchanganyiko kwenye sehemu wanapopita paka hao.
Paka akila mabaki yaliyochanganywa na unga wa Indocyn atalewa na kuishiwa nguvu utamkuta akiwa hoi kisha atakufa bila shaka.
Kwa panya, vijiko viwili vya unga wa Donna, changanya na unga wa Indocyn capsules mbili weka sehemu wanayopita utawakuta wamelewa watupe nje. Kalagha bahho.
Kwann utumie gharama kubwa ivo kwa panya fanya ivo chota cement kidogo changanya na dagaa weka hapo kesho yake unaokota panya tu
 
Nenda kwa wauza sumu waambie naomba sumu ya chenga chenga ile ya kuulia panya ni hatari sana iyo kamanda ukiwawekea kwenye samaki ndio itafaa zaidi au koroga ata kirosti cha samaki mix na nazi alafu tafuta kibakuli changanya sasa na iyo sumu subiri matokeo asubui
 
Nenda kwa wauza sumu waambie naomba sumu ya chenga chenga ile ya kuulia panya ni hatari sana iyo kamanda ukiwawekea kwenye samaki ndio itafaa zaidi au koroga ata kirosti cha samaki mix na nazi alafu tafuta kibakuli changanya sasa na iyo sumu subiri matokeo asubui
Paka tuu umtilie hadi nazi
 
Nenda kwa wauza sumu waambie naomba sumu ya chenga chenga ile ya kuulia panya ni hatari sana iyo kamanda ukiwawekea kwenye samaki ndio itafaa zaidi au koroga ata kirosti cha samaki mix na nazi alafu tafuta kibakuli changanya sasa na iyo sumu subiri matokeo asubui
Ahsante mkuu, nawatega leo. Ahsanteni sana
 
Kuna hii dawa inaitwa temico,hii inaua hadi Tembo,nimeua sana paka na bweha nilipokuwa Lindi kwani walikuwa wananilia sana kuku wangu,onto hii dawa unaua wanyama saba baada ya yule Wa kwanza,ikiwa mizoga yao italiwa
 
Huyo paka kazoea kula nyama mbichi...ili aache inabidi ukipika kuku uwe unamuwekea kipaja na mchuzi akizoea michuzi ataacha kula vibichi. Pia ukikaanga mayai muwekee na yeye had azoee vya kupikwa.

Ni matumaini yangu ukifanya hivi ataacha kuiba kuku na mayai, ataanza kuiba mboga
Umeshaambiwa shume mkuu
 
Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.

Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
mkuu njia hii paka anaweza kukuua msimdharau kwa udogo wake
 
Unadhani paka shume Hali vya kukaanga???? Ni kwamba hajapewa tu maana hata jalalani unayakuta mapaka shume. Kikubwa amuweke tu kwenye hesabu ya chakula Cha familia. Hata maziwa amchemshie amuwekee na sukari na cocoa....huyu paka ataacha kula vibichi nakuambia
Ntajaribu mkuu
 
Nunua sumu kwenye maduka ya pembejeo za kilimo inaitwa faradan iko kama punje za RANGI ya zambalau haina harufu kabisa.

Basi chukua nyama au mzoga wa KUKU pakaa tega huko porini.chochote kitakacho kula mtego wako huo kinakufa.yani hao paka siku mbili tu wataisha wote
 
Chukua kipande cha nyama anachoweza kukimeza au kukitafuna, kichome kiive kiasi halafu chukua office pins kadhaa kama sita zikate nusu chukua zile pande zenye ncha na uzichomeke katikati ya ile nyama halafu kamtegeshee huyo pusi,

Kitakachotokea sikuambii, utakuja simulia hapa JF.

NB:] Chomeka hizo pini katikati ya hiyo nyama, atakapokuwa akitafuna zita mchoma mdomoni kwa uroho na ujinga wake ili kujihami ataamua kuimeza hiyo nyama-- hapo sasa ndipo Wamakonde waliposema; "uchimeje wala uchiteme wala uchimumune".[emoji16][emoji16]
njoo pm nikuongeze LIKE ya ziada maana hapa si zaidi ya moja. duu si kwa kututangaza sie wamakonde.
 
Back
Top Bottom