Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Wewe acha upumbavu hakuna sehemu yoyote duniani unaweza kumuua paka kwanjia hiyo aliyosema huyo jamaa. Labda sio paka ila kama paka hawa wanaofungwa majumbani nakushauri zitafute habari zao kwanza. Kama hujavaa mavazi yakujikinga kushambuliwa huwezi muua naukifanya kulazimisha utakufa wewe sio yeye akikuulumia sana atakuacha ukiwa kipopu.huyo viatu vyasamaki anafurahisha watu tu!ushawahi kusikia ule usemi wa paka anaroho saba?mbwa mwenyewe anaeweza kumuua paka awe mbwa kweli lakini mbwa mwenyewe anamuogopa.paka anauwa hadi nyoka unacheza napaka wewe!
Punguza jazba mkuu. Basi jamaa katudanganya maana ninavyojua mimi paka ni mwepesi sana kudhuru kiumbe chochote kinachomuwekea wenge haijalishi kiwe na ukubwa gani, yule mnyama anajiamini sana. Viatu vya Samaki siku nyingine uweke video tuamini ila sio maneno tu.