epicurus
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 276
- 176
Usiku wa manane nani alikuwa anatupiga picha wakati tunawaua?
Mngeining'iniza kamera, ili iyapate vizuri matukio..... Kama hamkua nayo, hayo ni maadhara ya kufanya mauaji bila hata ya maandalizi....
Siku nyingine wewe na wenzio msirudie hilo kosa