Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Mara kuna mtu aliua paka shume watano, usimtishe mwenzio.Tanga kuna mtu alipofuka kisa kupigwa kucha za macho na paka, usimponze mwenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara kuna mtu aliua paka shume watano, usimtishe mwenzio.Tanga kuna mtu alipofuka kisa kupigwa kucha za macho na paka, usimponze mwenzio
Mkuu Viatu vya Samaki , humo ndani paka watano nitasalimika kweli? Nataka sumu ya kumuua. Ile ya panya haifai?
Linarudi chap hususan yale meusiHivi kuna watu bado mnaua wanyama karne hii kweli? Achana na huyo kiumbe tafadhali. Ulizia njia ya kumuondoa maeneo yako anayokusumbua. Unaweza ukamdaka mtego kama ule wa samaki. Then akiingia humo,unaubeba huo mtego mpaka polini,umbali mrefu mashambani huko,fungua mtego iwe rahisi kwake kutoka kwenye hiyo mtego,bila kudhurika tafadhali usimuue
Dah bora shule zifunguliweNimefanya siyo kujaribu. Waliuze mapaka shume wananijua.
Bora zifunguliwe kwa kweli.Dah bora shule zifunguliwe
Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Bora zifunguliwe kwa kweli.
Sawa, mwende shule mapema.Tarehe 8/7/2019 haiko mbali, ukiizoom kwa lensi
Mimi mbona nimewaua sana!Ha ha ha ha ha, we jamaa sio mtu mzuri hata kidogo, mpaka mmoja tu asiyekuwa shume kumfungia ndani, halafu umuadhibu ni hatari..... Halafu unamshauri mwenzio awafungie watano tena shume, ama kweli humpendi hata kidogo.....
Mimi mbona nimewaua sana!
Sawa, mwende shule mapema.
Mara kuna mtu aliua paka shume watano, usimtishe mwenzio.
Usiku wa manane nani alikuwa anatupiga picha wakati tunawaua?Picha picha, wekeni sio mnaleta hadithi za john kaduma...
Siwezi kwenda shule hata kwa maana zote uzijuazo.Sawa tutaenda, maana kwenda shule kuna maana nyingi, na kama ungeelewa maana zote ungeondoa utata
Mwaka 2001 ningekuwa napiga picha kwa ajili ya JF ya 2019?Ungeweka na kapicha walau ili kutoa hamasa, kwa muuaji mtarajiwa wa paka
Mwaka 2001 ningekuwa napiga picha kwa ajili ya JF ya 2019?
Siwezi kwenda shule hata kwa maana zote uzijuazo.
Usiku wa manane nisiue paka shume nianze kupiga picha?Picha ni kwaajili ya kumbukumbu...... Ndio maana leo hii kuna picha ya matukio hata ya miaka kale, enzi na enzi......