hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Mkuu Kuna watu Wana roho ngumu sanaWe jamaa una roho kama yangu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kuna watu Wana roho ngumu sanaWe jamaa una roho kama yangu..
Paka wakija kula kuku wako ndo utaelewa...Mkuu Kuna watu Wana roho ngumu sana
Paka wakija kula kuku wako ndo utaelewa...
Sasa si nanunua??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitatafuta njia bora ya kuwadhibiti na sio kuwa ua ---mbona wewe unakula nyama ya Samaki. Mbuzi. Ng'ombe na hau uliwi
Sasa si nanunua??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Biblia[emoji23][emoji23][emoji23]sasa paka je nani kamhalalishis kuiba??Hahaha. .dah! !! Kwahiyo hapa ndio umejitetea. ..?? Kununua kwako ni sehemu moja wapo ya kuhalalisha Mauaji ya viumbe hao
Biblia[emoji23][emoji23][emoji23]sasa paka je nani kamhalalishis kuiba??
Hapo si una hamisha tatizo?Hivi kuna watu bado mnaua wanyama karne hii kweli? Achana na huyo kiumbe tafadhali. Ulizia njia ya kumuondoa maeneo yako anayokusumbua. Unaweza ukamdaka mtego kama ule wa samaki. Then akiingia humo,unaubeba huo mtego mpaka polini,umbali mrefu mashambani huko,fungua mtego iwe rahisi kwake kutoka kwenye hiyo mtego,bila kudhurika tafadhali usimuue
Dawa ya kupulizia tumbakuAhsante sana. Sumu kama ipi mkuu? Dawa Ipi inamuua fasta?
Mkuu upo Kama Mimi ,kuku wangu watatu wametotoa changamoto imekuja juu ya kuwalinda na "paka moja jizi hapa nyumbani"Mkuu wameiba mayai yangu na kuku wamekula saiz nna kuku 3 tuuu out of 15.... Nayachukia haya mapaka
Huwajui paka vizuri kumbeSisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Nasema kitu ambacho nimeishi kufanya.Wewe
Huwajui paka vizuri kumbe
Ukajaribu leo huku umejifungia ndaniNasema kitu ambacho nimeishi kufanya.
Nimefanya siyo kujaribu. Waliuze mapaka shume wananijua.Ukajaribu leo huku umejifungia ndani
Ahsante sana. Sumu kama ipi mkuu? Dawa Ipi inamuua 5Tafuta mzoga wa kuku, weka sumu kali kutoka maduka ya madawa ya mifugo, mpasue kati kati, jaza sumu........ Subiri kuona kimya kizito pasipo kusumbuliwa
naanza na hii mkuu. Ngoja niwanunulie samaki kabisa kesho na sumu ya panya wakajirambe hukoMi nilitega sumu ya panya paka wawili ambao ni wasumbufu wamekufa mtaani.
Ahahaaaaaaaahaa....! Bora umestukia. Maana huyo mnyama hatari,ni mfano wa chui,hasa akizingirwa hana pa kukimbilia,anakuraluasubutuuuu! mdanganye wamng'oe Pumbz
Unatetea pakaa kuibaa kuku???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu utakuwa una shida mahalii...Kwa utashi wa paka hajaiba Bali amejitafutia riziki kisha ameipata. ..kwani paka wame tungiwa sheria za namna ya kuishi iwe za kidini au za kidunia. ...
Kwani paka Wana Dini na serikali? ?....
Nakuona tu unavyo jitia uchizi usio kuwa nao
unafeli wapi?wewe ni nani kuwa na mamlaka ya kutoa roha za viumbe?Mimi kama scout hiyo ni kanuni yetu ya nne kuhurumia viumbe hai.punguza roho mbaya.Hili ndio tatizo kubwa la wabongo, amwachie Mungu ili iweje?ndio mana tuna fell sana nchi hii