Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu

Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu

Tusaidiane kidogo. Sumu ya panya inaua paka Lakini mpaka uipake kwenye nyama ambayo akiila itakaa muda mrefu tumboni. Lakini ukiweka kwenye chakula chenye kuyeyuka haraka kama ugali na wali, paka hawezi kufa.
Jaribu vidonge vya Indocyn. Nyunyizia unga wake kwenye mabaki ya chakula, mabaki ya nyama ni bora zaidi. Kisha changanya , na uuweke mchanganyiko kwenye sehemu wanapopita paka hao.
Paka akila mabaki yaliyochanganywa na unga wa Indocyn atalewa na kuishiwa nguvu utamkuta akiwa hoi kisha atakufa bila shaka.
Kwa panya, vijiko viwili vya unga wa Donna, changanya na unga wa Indocyn capsules mbili weka sehemu wanayopita utawakuta wamelewa watupe nje. Kalagha bahho.
Ahsante mkuu. Nawanunulia nyama na nitaweka vyote, indocid na sumu ile ya panya.
 
unafeli wapi?wewe ni nani kuwa na mamlaka ya kutoa roha za viumbe?Mimi kama scout hiyo ni kanuni yetu ya nne kuhurumia viumbe hai.punguza roho mbaya.
Roho mbaya wanayo mawakala wa shetani CCM pekee
 
Ilo paka dawa yake manati, litafurahia show mbona
 
Mapaka shume hawaogopi sumu labda uweke mtego atakaounasa na kuondoa uhai wake
 
Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.

Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
[emoji23][emoji23][emoji23]unataka jamaa afie ndani wewe, paka hafungiwi mlango hata siku moja
 
Back
Top Bottom