Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu


Punguza jazba mkuu. Basi jamaa katudanganya maana ninavyojua mimi paka ni mwepesi sana kudhuru kiumbe chochote kinachomuwekea wenge haijalishi kiwe na ukubwa gani, yule mnyama anajiamini sana. Viatu vya Samaki siku nyingine uweke video tuamini ila sio maneno tu.
 
Kwann utumie gharama kubwa ivo kwa panya fanya ivo chota cement kidogo changanya na dagaa weka hapo kesho yake unaokota panya tu
 
Nenda kwa wauza sumu waambie naomba sumu ya chenga chenga ile ya kuulia panya ni hatari sana iyo kamanda ukiwawekea kwenye samaki ndio itafaa zaidi au koroga ata kirosti cha samaki mix na nazi alafu tafuta kibakuli changanya sasa na iyo sumu subiri matokeo asubui
 
Paka tuu umtilie hadi nazi
 
Ahsante mkuu, nawatega leo. Ahsanteni sana
 
Kuna hii dawa inaitwa temico,hii inaua hadi Tembo,nimeua sana paka na bweha nilipokuwa Lindi kwani walikuwa wananilia sana kuku wangu,onto hii dawa unaua wanyama saba baada ya yule Wa kwanza,ikiwa mizoga yao italiwa
 
Umeshaambiwa shume mkuu
 
mkuu njia hii paka anaweza kukuua msimdharau kwa udogo wake
 
Ntajaribu mkuu
 
Nunua sumu kwenye maduka ya pembejeo za kilimo inaitwa faradan iko kama punje za RANGI ya zambalau haina harufu kabisa.

Basi chukua nyama au mzoga wa KUKU pakaa tega huko porini.chochote kitakacho kula mtego wako huo kinakufa.yani hao paka siku mbili tu wataisha wote
 
njoo pm nikuongeze LIKE ya ziada maana hapa si zaidi ya moja. duu si kwa kututangaza sie wamakonde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…