Msaada: Namna ya kufanya booking ya tiketi ya ndege kutoka Mpanda kwenda Dar

Uwanja wa Mpanda umeshaanza kufanya kazi?
Mwaka 2018 nilienda kikazi kipindi hicho barabara ya lami ilikuwa haijakamilika hata Sikonge ilikuwa bado haijafika,aisee msoto nilioupata wakati wa safari siwezi kusahau m,tulitoka stand ya Tabora kwenye saa 10 jioni usiku kucha tuko porini tulifika kesho yake saa tano asubuhi,nilikaa kule siku nne nikamaliza kazi iliyonipeleka,nikaiwaza ile safari ile njia na wakati ule wa masika nikasema niuulizie [emoji574] nikaambiwa uwanja ulishasimama kufanya kazi mpaka ufanyie marekebisho,nilichoka sikuwa na namna nikapanda basi kurudi,saa 11 jioni nipo Tabora,ndipo nikagundua mwanzo nilisafiri na basi bovu.
Ila siku hizi mkeka ni kuteleza tu.
Habari za airport zinatia matumaini kama huduma zimerudi basi trip ijayo nitazuru Mpanda tena.
 
"...ndege iliyumba kidogo akasema my God! Baadaye ndege ikayumba sana akasema maweeeee!" J. K. Nyerere akimnukuu the Late Sir George Kahama🤣😂
Haa
 
"...ndege iliyumba kidogo akasema my God! Baadaye ndege ikayumba sana akasema maweeeee!" J. K. Nyerere akimnukuu the Late Sir George Kahama🤣😂
Daaah
 
Ndio mkuu kwasasa ni flight za ndege tu, kutoka Mpanda hadi Dar ni mbali saana hata ukitembea kwenye lami has a ukiwa na haraka
 
yaani tumeshajua unapanda ndege tar 18

hivi umeshindwa kugoogle kama Mad Max hapa upatw majibu yako yote?
 
Huko mpanda nadhani swax ama sumbawanga pia iko huko kwa wale marvelous wa sky rockets za usiku! Try dem! 1000km in 0.0000 secs! So Impressive! I dey try one day ooh!..
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…