Mungu amsaidie afanikishe hilo IJN!
Waliiondoa ama walikusaidia Kwa namna gani mkuuWatumie e-mail kuhusu tatizo lako chap tu watakusaidia.. nilikuwa na tatizo kama lako simu nilipiga mara 10 hawapokei lakini e-mail nilivotuma wakaniondelea chap
Asee ulitumia email gan hadi wakaweza kukuhudumia? Mm nliweka cheti cha form six nataka nikitoe lakn nlituma email kmya, nkapiga smu akapokea jamaa flan akasema hawawez kukiondoa. Hadi leo nashindwa kuapply kaz kwa sabab ya chet cha form six (kaz nayoapply inahtaji form four)Watumie e-mail kuhusu tatizo lako chap tu watakusaidia.. nilikuwa na tatizo kama lako simu nilipiga mara 10 hawapokei lakini e-mail nilivotuma wakaniondelea chap
Ndio waliitoa, we waandikie e-mail yenye maelekezo, huku ni rahis kuliko simu wapigaji ni wengiWaliiondoa ama walikusaidia Kwa namna gani mkuu
Kwenye website yao kweny sehem ya mawasiliano pale kuna namba na e-mail yao ipoAsee ulitumia email gan hadi wakaweza kukuhudumia? Mm nliweka cheti cha form six nataka nikitoe lakn nlituma email kmya, nkapiga smu akapokea jamaa flan akasema hawawez kukiondoa. Hadi leo nashindwa kuapply kaz kwa sabab ya chet cha form six (kaz nayoapply inahtaji form four)
email yao hii hapa ict@ajira.go.tzAsee ulitumia email gan hadi wakaweza kukuhudumia? Mm nliweka cheti cha form six nataka nikitoe lakn nlituma email kmya, nkapiga smu akapokea jamaa flan akasema hawawez kukiondoa. Hadi leo nashindwa kuapply kaz kwa sabab ya chet cha form six (kaz nayoapply inahtaji form four)
Thanksemail yao hii hapa ict@ajira.go.tz
I appreciate 🤜Kwenye website yao kweny sehem ya mawasiliano pale kuna namba na e-mail yao ipo
Wawapi?Adi uwa cheki wao..ni kama JF tu huwezi futa thread hadi uongee na mods