Doubleclick
Senior Member
- Apr 26, 2024
- 144
- 85
Wacha tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimewatumia email nasubili nione kama watajibuWatumie e-mail kuhusu tatizo lako chap tu watakusaidia.. nilikuwa na tatizo kama lako simu nilipiga mara 10 hawapokei lakini e-mail nilivotuma wakaniondelea chap
mkuu hadi leo hawajanijibu nimewatumia txt kwnye email yaoWatumie e-mail kuhusu tatizo lako chap tu watakusaidia.. nilikuwa na tatizo kama lako simu nilipiga mara 10 hawapokei lakini e-mail nilivotuma wakaniondelea chap
That is strange, mimi niliwatumia e-mail yenye maelezo kamili ya shida yangu, walinishughulikia ndani ya siku mbili tu.. endelea kuwasubiri huenda bado hawajaionamkuu hadi leo hawajanijibu nimewatumia txt kwnye email yao
Maelezo kamili kivip au na kutaja majina yako na nida au msaada mkuu kwnye maelezoThat is strange, mimi niliwatumia e-mail yenye maelezo kamili ya shida yangu, walinishughulikia ndani ya siku mbili tu.. endelea kuwasubiri huenda bado hawajaiona
Atafunguaje account nyingine na national id ni Moja tu!!?Fungua akaunti nyingine kama una email id mbili.
Ndio mkuu jina lako mkuu na nida na shida yako..Maelezo kamili kivip au na kutaja majina yako na nida au msaada mkuu kwnye maelezo
Bila shaka ashafanikiwa.
Aaah wap hadi leo sijatoboaBila shaka ashafanikiwa.
kwa kweli kakaMwenye maisha kila mtu na njia yake ya kusaidika. Mwenzio katuma email kajibiwa. Haina maana na wewe ukituma utajibiwa. All in all ushuhuda ni mzuri ila kila mtu na njia yake. Pambana mkuu
Ata sielewi nafanikiwa vip sasa
Wapuuzi hawako serious mi nshawatumia Sana email lakini hawarespond, ictajira portal Hadi wenye hawajibu.Watumie e-mail kuhusu tatizo lako chap tu watakusaidia.. nilikuwa na tatizo kama lako simu nilipiga mara 10 hawapokei lakini e-mail nilivotuma wakaniondelea chap
Pole sana , mimi nilitumia njia hiyo ndani ya siku mbili wakanisaidiaWapuuzi hawako serious mi nshawatumia Sana email lakini hawarespond, ictajira portal Hadi wenye hawajibu.
Madudu matupu
Funga tu safr nenda ofs zao hapo dodomaAta sielewi nafanikiwa vip sasa