Msaada: Namna ya kukagua gari used Tanzania kabla sijanunua

Nisije kuonekana mbishi hapa haya jameni kanunueni hayo magari ya aftatu alafu muone kama mtu hajaenda kutubu kwa mfalme zumaridi hapa
unapenda kulazimisha mambo ambayo hayalazimishiki,mfano kama wewe hujawahi shika millioni 100,basi watu wote dunia nzima hawajawahi shika?ni kweli wewe ulinunua gari mbovu kwa hiyo hela,lakini sio kwamba dunia nzima watanunua gari mbovu,kwa kuwa wewe tu ulinunua mbovu,hapana,fikiria kidogo tu...
 
Umemaliza kila kitu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wanaoogopa kununua magari ya mikononi nikwamba hawana ujuzi tu na magari, ukiwa na pesa hakuna kinashindikana, ukinunua gari kwa mtu let say milioni sita ukakuta injini inazingua, ilala ipo pale kamatia mswaki wako funga piga mwendo. ukiona gear box inagonga, piga chini weka nyingine piga mwendo, sasa wewe unanunua gari kwa mtu afu ukitegemea utalikuta halina changamoto yoyote? issue ni kupambana na hiyo changamoto and you are good to go.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…