Kuna Demu aliniambia kaachika,lakini kila nikienda kumgonga nikufudi home tu usiku nikiwasha tu taa lazima nikutane na nyoka wadogo wawili,mmoja anakua anatembea zake varandani kuelekea chumbani,na mwingine namkuta tahari yuko chumbani karibu na Kitanda! Ilinitokea Kama Mara tatu hivi, nikaamua kumtema yule Demu kimyakimya bila yeye kujua!! Duniani kuna mengi,sema tu Mungu anatulinda sana!!Hiyo itakuwa michezo ya baba mwenye nyumba kutaka kukupima kama uko fit. Kama hujang'atwa na hawa nyoka mpaka sasa basi uko fit, we endelea tu kula watoto wa watu huko.
Nyoka siyo nyaraHii nikiendelea kuviua siwezi kuisababishia hasara serikali?? Kwa kuua nyara za serikali?
Katika kuhama ndipo unawapa taharuki unaweza wakuta ndani ya netPaka ndiyo kiboko yake.
Kama mahali ulipo kuna mtu kutoka KAGERA yaani mwenyeji wa BUKOBA muulize kama anaujua mti unaitwa MWIITANJOKA au OMWIITANJOKA.
Kama anaujua akuonyeshe uchume vimiti na majani yake, Kisha tia jikoni viwake/viungue utapata matokeo.
Nyoka huwa hapendi harufu ya mti huo anauogopa sana. Watahama wote.
🤣🤣🙌🙌Kama ni me mtolee yule nyoka mwenzake wacheze nae. Itakua nyoka uliyonae anaita wenzie
Huu mchanganyiko wako pia ni dawa ya mchwa!Haujasema upo mkoa gani na eneo lako lipoje umezungukwa na mazingira gani utuonyeshe.....
Ila fanya hivi tafuta lile gallon la lita 5 lijaze oil chafu, kisha nunua mafuta ya taa lita tatu na nusu pakti ya chumvi ya unga, changanya halafu tikisa vichanganyike vema.
Baada ya hapo tafuta chupa ya maji ya kunywa hizi kama za uhai, itiboe kuweka tundu kisha kuwa unamiminia huo mchanganyiko na utumie hiyo chupa kunyunyiza eneo la kuzunguka nyuma unayoishi.
Unaweza kuogeza kipimo hata ndoo kubwa ya oil chafu ukapata na lita tano za mafuta ya taa na pakti nzima ya chumvi ya unga,kisha ukachanganya halafu ukamwaga eneo lote kwa maana ya vichaka, maficho, mashimo, eneo lenye makorokoro yaliyorundikwa.
Hiyo harufu nyoka kama wapo hapo watatoka ndani ya dakika kadhaa tu na pia kama wapo nje ya eneo hilo hawatasogea au watakimbia mbali na hapo.
Na ikitokea huo mchanganyiko ukamwagia nyoka direct aisee ni kitendo cha dakika kadhaa atachanika chanika ngozi yake utamuonea huruma anavyokufa kifo cha mateso na kukauka.
Kirahisi rahisi hivi tukuamini. Ha ha ha haaa!Bro hao nyoka hawana madhara kbs wala hawaumi.NI BROWN HOUSE SNAKE..
Wanakusaidia kupunguza pest kama panya au wadudu wengine.
Hawana sumu kabisa bali ni constrictors(wanambana panya pumzi)kisha kummeza.
Uwe na amani kabisa...
Basi huyo demu kategwa na X wake ila hajijuwi tuKuna Demu aliniambia kaachika,lakini kila nikienda kumgonga nikufudi home tu usiku nikiwasha tu taa lazima nikutane na nyoka wadogo wawili,mmoja anakua anatembea zake varandani kuelekea chumbani,na mwingine namkuta tahari yuko chumbani karibu na Kitanda! Ilinitokea Kama Mara tatu hivi, nikaamua kumtema yule Demu kimyakimya bila yeye kujua!! Duniani kuna mengi,sema tu Mungu anatulinda sana!!
Dada, sasa hili ni Geto la Bachelor. Yaani huwa naishi kwa week au week mbili kasoro kisha naondoka. Sipiki wala sija jiko. Shukrani sanaPaka ndiyo kiboko yake.
Kama mahali ulipo kuna mtu kutoka KAGERA yaani mwenyeji wa BUKOBA muulize kama anaujua mti unaitwa MWIITANJOKA au OMWIITANJOKA.
Kama anaujua akuonyeshe uchume vimiti na majani yake, Kisha tia jikoni viwake/viungue utapata matokeo.
Nyoka huwa hapendi harufu ya mti huo anauogopa sana. Watahama wote.
Yeah. Yule wa kwanza nilifikiria nikaona ujinga. Nikamwambia hebu toka kapambane na mwenzio huko.....ilizaa matunda!Kama ni me mtolee yule nyoka mwenzake wacheze nae. Itakua nyoka uliyonae anaita wenzie
Nipo Kigoma, Wilaya mojawapo nje kidogo ya Mji, maeneo nje ni masafi maana watu wamelima mashamba kwa ajili ya kulima.Haujasema upo mkoa gani na eneo lako lipoje umezungukwa na mazingira gani utuonyeshe.....
Nimewaza hivyo hivyo, ngozi nauza halafu nyama natengeneza rostViatu vilivyotengenezwa kwa ngozi ya nyoka huwa ni ghali sanaa
nakushauri we wafugee
Haahhaahah sijawahi aiseeee hata kuwaza! Nikija huku nakua na very limited time! Najikuta hats kunywa nanywea roomHiyo itakuwa michezo ya baba mwenye nyumba kutaka kukupima kama uko fit. Kama hujang'atwa na hawa nyoka mpaka sasa basi uko fit, we endelea tu kula watoto wa watu huko.
Kuna MTU kaniambia hivi hivi kuwa kuna siku watakuja Wazee wenyeweHao ni akina Junior wanatumwa kuja ku survey mazingira yakoje, One day atakuja baba lao yule King Cobra.
Duh pole sana aiseeee! Tuache mademu was kuokota hovyo hovyoKuna Demu aliniambia kaachika,lakini kila nikienda kumgonga nikufudi home tu usiku nikiwasha tu taa lazima nikutane na nyoka wadogo wawili,mmoja anakua anatembea zake varandani kuelekea chumbani,na mwingine namkuta tahari yuko chumbani karibu na Kitanda! Ilinitokea Kama Mara tatu hivi, nikaamua kumtema yule Demu kimyakimya bila yeye kujua!! Duniani kuna mengi,sema tu Mungu anatulinda sana!!
Kwani wewe hutaki wageni😂.Waungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona!
Niko Mkoani, kwahio niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepana na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster......
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.
View attachment 1986903
Wanapendwa sana na hao wadudu unaweza kuwaongeza badala ya kuwapunguza.Fuga kuku au bata kazi kwishnei mwanangu
Huyo Ibilisi ameshashindwa big time mwanangu, Mimi chumba changu ndio chumba changu cha ibada.Njoo kwenye maombi mkuu hapo unatafutwa na ibilisi
Napenda sana Ndugu yanguKwani wewe hutaki wageni😂.