Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Basi wazoee na wageni wataambaao, pia ongea na wenyeji watakuambia wanaishije nao .Napenda sana Ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wazoee na wageni wataambaao, pia ongea na wenyeji watakuambia wanaishije nao .Napenda sana Ndugu yangu
Hao wanaweza kuwavutia African Forest Cobra, cobra huwa wanakula nyoka wenzakeBro hao nyoka hawana madhara kbs wala hawaumi.NI BROWN HOUSE SNAKE..
Wanakusaidia kupunguza pest kama panya au wadudu wengine.
Hawana sumu kabisa bali ni constrictors(wanambana panya pumzi)kisha kummeza.
Uwe na amani kabisa...
Kuna Demu aliniambia kaachika,lakini kila nikienda kumgonga nikufudi home tu usiku nikiwasha tu taa lazima nikutane na nyoka wadogo wawili,mmoja anakua anatembea zake varandani kuelekea chumbani,na mwingine namkuta tahari yuko chumbani karibu na Kitanda! Ilinitokea Kama Mara tatu hivi, nikaamua kumtema yule Demu kimyakimya bila yeye kujua!! Duniani kuna mengi,sema tu Mungu anatulinda sana!!
Unajuaje nyoka ni lunatic?Nilimwagia nyoka mafuta ya taa aisee alipandwa na hasira na kuanza kunijia mimi nikafyeka panga moja tu.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Pole my wangu kwa kucheka, hujaumia kweli babe🤣🤣🙌🙌
Siwakubali nyokaWaungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona!
Niko Mkoani, kwahio niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepana na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster......
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.
View attachment 1986903
Sijaumia my wangu, thanks kwa kunipa kicheko asbh asbh😅Pole my wangu kwa kucheka, hujaumia kweli babe
Ooh vizuri kama hujaumia my nafurahi kusikia umefurahi🤗🤗Sijaumia my wangu, thanks kwa kunipa kicheko asbh asbh😅
Aaaggh wapi, sihami aiseeee! Nitahama nikimaliza kazi yanguYani iyo nyumba ina mazingira yani we hama tu
Aina hii ya nyoka haina madhara kwa binadamu, haina sumu! Hula wadudu.Waungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona!
Niko Mkoani, kwahio niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepana na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster......
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.
View attachment 1986903
Umeua kitoto, chenyewe kina wazazi watakuja uwaeleze vizuri.Hii nikiendelea kuviua siwezi kuisababishia hasara serikali?? Kwa kuua nyara za serikali?
tatizo ntajuaje kama nyoka fulani ni constrictors?naogop sn hawa wadudu.Bro hao nyoka hawana madhara kbs wala hawaumi. NI BROWN HOUSE SNAKE
Wanakusaidia kupunguza pest kama panya au wadudu wengine.
Hawana sumu kabisa bali ni constrictors (wanambana panya pumzi)kisha kummeza.
Uwe na amani kabisa
Hebu tupia video tuone ulivyomfyeka panga moja, usikute ulifyeka panga 15 halafu unasema mojaNilimwagia nyoka mafuta ya taa aisee alipandwa na hasira na kuanza kunijia mimi nikafyeka panga moja tu.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Uko morogoro mkuu?Waungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona!
Niko Mkoani, kwahio niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepana na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster......
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.
View attachment 1986903
Nyoka wanaingia mlangoni, hasa kwa milango ambayo imeachia nafasi kwenye sakafu. Tafuta oil chafu kama lita moja au mbili toka garage. Changanya na mchanga na kisha zungushia nyumba yote kwa nje umbali wa 0.5m toka ukutani. Rudia zoezi hili kila baada ya miezi 3.Roast ya mchuzi? Na pilipili kwa mbali, sema wanakuja wadogo wadogo tu. Huyu nimemchoma akatoa kaharufu Fulani amazing sana
Kakwambia huwa anakaa kwa muda, amepanga kupunguza gharama za lodge.Fuga kuku au bata kazi kwishnei mwanangu