Msaada namna ya kupandisha video za youtube hapa Jf

Msaada namna ya kupandisha video za youtube hapa Jf

Yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees nimeweza asanteni sana wadau mungu awajaalieni mupate watoto mapacha
 
Shida yako unaelekezwa halafu husikilizi...ulielekezwa namna ya kubadili jina lakini hadi sasa wewe bado ni Kijana masikini
Hebu fuata hayo maelezo kwanza nione kama umeelewa...weka video ya youtube
Ile kubadilisha jina ilikuwa ni hadi ID ifikie mwezi mmoja (kwa mujibu wa maelekezo ya wadau) sasa nishatimiza mwezi humu nahisi ila sijaenda kucheki tena, maana nishalizoea tayari jina langu lishazoeleka pia, nina wana wawili watatu wanaonikubali kwenye mambo ya kipuuzi sitaki kuwachanganya tena.
 
Ile kubadilisha jina ilikuwa ni hadi ID ifikie mwezi mmoja (kwa mujibu wa maelekezo ya wadau) sasa nishatimiza mwezi humu nahisi ila sijaenda kucheki tena, maana nishalizoea tayari jina langu lishazoeleka pia, nina wana wawili watatu wanaonikubali kwenye mambo ya kipuuzi sitaki kuwachanganya tena.

Usibadili
 
Umetisha sana

Sasa kuhusu kubold kichwa cha uzi nahisi kama mods hawapendi...ukibold kichwa cha uzi au ukikiandika kwa herufi kubwa wakistuka wanabadilisha
Mbona karibia Thread zote zimekolezwa, kasoro chache sana!
 
Kwangu naona nyingi hazijaboldiwa 😃

Enwei, kubold si unaselect maneno uliyoandika halafu utaona juu hapo kushoto kuna B, unabonyeza basi inakuwa tayari

Jaribu
Duh kweli kufeli ni kushindwa kujaribu
 
Kubold ni rahisi sana kuliko kubadili ID na kuattach video manake ni B ipo hapo juu tu kushoto kwako

Kwani hujaelewa?
Kwenye kaundika Heading sioni hiyo B.
Naiona huku Kwenye kuandika habari yenyewe,👇
Screenshot_20250127_232927.jpg
 
Back
Top Bottom