Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Haya ndiyo mambo tusiyo yataka 🤕 mambo ya ushuzi wa mitume na mwamposa..sijui kiboko ya wachawi koko..nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipige basi mkuu uendeHaya ndiyo mambo tusiyo yataka 🤕 mambo ya ushuzi wa mitume na mwamposa..sijui kiboko ya wachawi koko..nk
Nikupige au nikulaani ? Bora nikulaani chukua hii laana 👉 UMELAANIWA NA KWA SABABU HIYO CCM HAITA ONDOKA MALANGONI PAKO.🙄Nipige basi mkuu uende
kuna kitu nimekihisiKubold ni rahisi sana kuliko kubadili ID na kuattach video manake ni B ipo hapo juu tu kushoto kwako
Kwani hujaelewa?
kuna kitu nimekihisi
nadhani threads huwekwa huu mkolezo na jf wenyewe maana naona kabla sijaifungua thread huwa na mkolezo lakini baada ya kuifunguwa, ile heading huwa na maandishi ya kawaida tu (membamba ila ni makubwa)
😆😆Sema unafaa kufundisha chekechea, unajuwa kumwelewesha mtu mwenye uelewa mdogo/asiyekuwa na uelewa kabisa akaelewaNilikwambia mods hawapendi mkolezo wala herufi kubwa kwenye kichwa cha uzi ukanibishia
😆😆Sema unafaa kufundisha chekechea, unajuwa kumwelewesha mtu mwenye uelewa mdogo/asiyekuwa na uelewa kabisa akaelewa
1. Nenda youtube kwenye video unayotaka kuweka humu JF
2. Kwenye ile video ukiplay kuna sehemu utaona imeandikwa "share" bonyeza hiyo share hapo hapo utaona sehemu imeandikwa copy...bonyeza copy
3. Njoo JF uipaste
Ole wako useme hujaelewa!!!
Alikuwa na vichekesho sana baadhi ya Post zake km video yako uliyoipandishaMkuu alifanyaje huyo memba?
Ni kama kawaida unavyopaste vitu vingineMkuu, nimeelewa kote isipokuwa hatua ya 3, Naipaste vipi hiyo link??
Naomba unielekeze jinsi ya kupaste link, asante Jonnah
AhaaAlikuwa na vichekesho sana baadhi ya Post zake km video yako uliyoipandisha
Tupo na wewe mpaka upigwe ban....Habarini za wakati wakuu.
Nashindwa kujua namna ya kufanya kupandisha humu jamii forums video za mitandao mingine hasa youtube naombeni mnipe njia.
Amani ya bwana iwe nanyi.
mshamba_hachekwi
Mshana Jr
Kivipi mkuu? Kama huna uelewa juu ya mambo mengi ( ya kimtandao ) hapa jf unapigwa ban?Tupo na wewe mpaka upigwe ban....
Umemshinda nini lakini..!!??Hadi Mi nimekushinda 😜
Kuna mmoja ndo huwa wa hivi. Mkienda naye sambamba mpaka anakula BANTupo na wewe mpaka upigwe ban....
Oya wakuu toeni hilo pazia basi nione mbele, au mnachukulia nafanana akili na jentamaisini?
Yaani hii GENTAMYCINE akiiona, utamlisha nayo BANOya wakuu toeni hilo pazia basi nione mbele, au mnachukulia nafanana akili na jentamaisini?