Msaada: Nani amemuiga nani hapa?

Msaada: Nani amemuiga nani hapa?

Daaa hapa hua ndio nashindwa kuelewa[emoji23][emoji23]

Wadada vimodel wasio na [emoji196] hua wanawawakandia wenzao walio na [emoji196]

Katika hizi picha Tunda na Ruby wote hawana [emoji196] ila wamebinua viuno juuu[emoji6] ili tuone nao wana [emoji196] [emoji196] (kwa hiyo wanapenda kua na [emoji196] japo unaweza kuta wakiwakandia wenye [emoji196] [emoji196] eg. Masogange, Ambar lulu, Gigy, Nai huddah) [emoji3] [emoji3]

Conclusion:
Wanaume zaidi ya 90% wanapenda wanawake wenye [emoji196] [emoji196]

Wanawake zaidi ya 75% wanapenda kua na [emoji196] au kuendelea kua na [emoji196]

Swali:
Kazi ya [emoji196] ni nini?

My Take:
Watanzania wengi kwa sasa bila kujali itikadi ya vyama vyao, hali ya uchumi, elimu zao, makabila yao kwa pamoja wanapenda [emoji196] [emoji196]

×××××××××××××××××××
Mimi napenda misambandwa
[emoji196] [emoji196] kazi yake ni kufumuliwa marinda
 
Tuliobobea kwenye lugha adhimu ya kiswahili tunasema hayo ni "MAUMBO MBINUKO"
 
Samahan lakin kwa ntakao wakera, huyo rubi (mwenye nyekundu, hata kama si rubi) ni mbaya kwa kweli, yaani ni mbaya jumla jumla.

Samahan lakini kwa yeyote atakaye jiskia vibaya kwa kweli nimeshindwa kujizuia nisiseme
Weka picha yako wewe uliye mzuri
 
Pale anapopata muda wa kujadili nani mzuri nani mbaya, huenda vigezo anavifahamu na pengine yeye anavyo.
Ukisoma statement yangu nimekuwa mstaarabu sana niliweka caution ya excuse kwa atakaye jiskia vibaya. Nilikuwa naepusha mijadala kama hii mkuu.
 
Ukisoma statement yangu nimekuwa mstaarabu sana niliweka caution ya excuse kwa atakaye jiskia vibaya. Nilikuwa naepusha mijadala kama hii mkuu.
Ukileta mada hapa maana yake unataka ijadiliwe, vingevyo ungekaa kimya. Excuse haizuii mada kujadiliwa
 
Ni mawazo yko yenye mapepo ndani yke na so kila mtu lazma kwako umuone mzuri....Ruby muache tu maana hujui lolote,na c ajabu hiyo pic tu unaipigia nyeto
Mambo mengine ungeyaacha tu mkuu... Hapo unaenda kinyume na uhalisia
 
Kila mtu ana macho yake na hisia zake bana, usiempenda wenzako wanaota watampata lini ila kwa kweli kuna wasichana wabaya sio siri
Kupenda ndo kila mtu ana jicho lake. Kwa mwonekano, wote tunaona sawa. Wengine mnajarib kuwa tu positive
 
Mkuu watu wengine hata hawajui nini maana ya msamaha, wakati huohuo na yeye wapo ambao anawaona wabaya!!
 
Back
Top Bottom