Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
- Thread starter
- #21
Asante ushauri. Ila naomba kujua kwa nn ni bora kutumia size hizo dhidi ya kutumia 40x40.Nakushauri tumia 50x50 au 60x60 au 30x60
Natanguliza shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ushauri. Ila naomba kujua kwa nn ni bora kutumia size hizo dhidi ya kutumia 40x40.Nakushauri tumia 50x50 au 60x60 au 30x60
Tz tunapenda ujanja ujanja sana kaka. Ila shida kubwa ni wenye madukaUdalali mwingi hasa wa kibongo ni wizi,.hapo apewe laki tano ya nini?
Hizo ndefu niAsante ushauri. Ila naomba kujua kwa nn ni bora kutumia size hizo dhidi ya kutumia 40x40.
Natanguliza shukrani
KHizo ndefu ni
- Rahisi kutambua errors kama fundi hayuko makini kuzinyoosha utaona makosa kwa urahisi na kumrekebisha kuliko hizo fupi.
- Mwonekano wake ni maridadi zaidi
- Ulazaji wake unambana fundi kwakuwa akikosea zinamchongea haraka kwakuwa zipo chache
Shukrani sana kaka.Cheki na uyo mwamba!!
Karibu nduguShukrani kwa ushauri kaka. Nimezingatia ushauri.
Ubarikiwe sana.
K
Ukiacha kampuni chache zilizosajiliwa, udalali ndio umekusanya wale wezi na matapeli wa mjini. Tena sijui kwa nini Serikali haichukui hatua kwa hawa wahuni. Madali wasajaliwe, vigezo viwekwe sawa, polisi wapewe elimu ili iwe rahisi kudeal na wahuni wanaobakia.Tz tunapenda ujanja ujanja sana kaka. Ila shida kubwa ni wenye maduka