Msaada: Naomba kujuzwa dawa ya kutibu maumivu ya jino

Msaada: Naomba kujuzwa dawa ya kutibu maumivu ya jino

prumpeti

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
1,023
Reaction score
2,308
Habari za muda huu,

Msaada kwa anae fahamu dawa ya kutibu maumivu ya jino watu wengi wananishauri kung'oa ila mi naona sio njia nzuri...

Naomba kama kuna anae fahamu dawa za hospital au hata za kienyeji mana sio kwa maumivu haya jana usiku mpaka nikameza Magnesium asee.
 
mkubwa ukitaka meno yasikuume achana kabisa na vinywaji vyenye sukari kama soda,energy drinks hasa ya Azam nje ya hapo utayamaliza meno kwa kuyangoa

kuna bwana aliniambia dawa ya jino inatengenezawa hivi:
chukua malimao matano,yakamue kwenye chombo kisafi,wekamo mafuta ya taa vijiko viwili,weka vijiko viwili vya chumvi ya mezani,koroga vizuri

tumia mchanganiko huo kusukutulia kwa siku kama 3 maumivu yatakwisha

tahadhali:mimi sijajaribu hiyo dawa kwahiyo do on your own risk
 
mkubwa ukitaka meno yasikuume achana kabisa na vinywaji vyenye sukari kama soda,energy drinks hasa ya Azam nje ya hapo utayamaliza meno kwa kuyangoa....
[emoji2367][emoji2367][emoji2367][emoji2367][emoji2367][emoji2367][emoji2367]duuh sawa asante kwa ushauri nimekuwa mraibu sana wa soda kipindi cha nyuma kidogo situmii pombe nilifanya soda mbadala ila naona sasa zitaniletea tabu.
 
Habari za muda huu.
Msaada kwa anae fahamu dawa ya kutibu maumivu ya jino watu wengi wananishauri kung'oa ila mi naona sio njia nzuri...

Naomba kama kuna anae fahamu dawa za hospital au hata za kienyeji mana sio kwa maumivu haya jana usiku mpaka nikameza Magnesium asee ...!
Uko wapi nikuelekeze...dawa hupatikana kulingana na mazingira yako...mkoa wako.

Kuna mti unaitwa mchunga kaburi unapatikana Arusha, Dodoma, singida hata Shinyanga Tabora na Mwanza.

Kata tawi lake menya maganda na yale maji maji yake sukutua meno.

Pili...kama utapa ndulele;
- ifunge kwenye kitambaa safi cha pamba
-mwagia mafuta ya taa
-chukua jani au mrija wa jani la mpapai
- washa hiyo ndulele kwa moto
-vuta moshi wake kwa mrija wa mpapai

---huo moshi usiumeze bali ufunge mdomo kwa dakika zisizopungua tatu then fungua mdomo
.....
.....
Matokeo yatakushangaza hasa haya na namba mbili
 
Uko wapi nikuelekeze...dawa hupatikana kulingana na mazingira yako...mkoa wako.

Kuna mti unaitwa mchunga kaburi unapatikana Arusha, Dodoma, singida hata Shinyanga Tabora na Mwanza.

Kata tawi lake menya maganda na yale maji maji yake sukutua meno.

Pili...kama utapa ndulele;
- ifunge kwenye kitambaa safi cha pamba
-mwagia mafuta ya taa
-chukua jani au mrija wa jani la mpapai
- washa hiyo ndulele kwa moto
-vuta moshi wake kwa mrija wa mpapai

---huo moshi usiumeze bali ufunge mdomo kwa dakika zisizopungua tatu then fungua mdomo
.....
.....
Matokeo yatakushangaza hasa haya na namba mbili
shukrani mkuu nipo Arusha miti yote hiyo naipata mapema sana nitakupa mrejesho..
 
Habari za muda huu,

Msaada kwa anae fahamu dawa ya kutibu maumivu ya jino watu wengi wananishauri kung'oa ila mi naona sio njia nzuri...

Naomba kama kuna anae fahamu dawa za hospital au hata za kienyeji mana sio kwa maumivu haya jana usiku mpaka nikameza Magnesium asee.
Dawa ziko 2.

1. Tafuta kitinguu swaumu punje kadhaa pondaponda au tafuna mpaka kiwe uji uji alafu huo uji uji ung'atie kwenye jino linalo uma kwa dakika kadhaa!

2. Nenda dokta kung'oa...hii ni last resort ikiwa njia zote zikishindikana.
 
Uko wapi nikuelekeze...dawa hupatikana kulingana na mazingira yako...mkoa wako.

Kuna mti unaitwa mchunga kaburi unapatikana Arusha, Dodoma, singida hata Shinyanga Tabora na Mwanza.

Kata tawi lake menya maganda na yale maji maji yake sukutua meno.

Pili...kama utapa ndulele;
- ifunge kwenye kitambaa safi cha pamba
-mwagia mafuta ya taa
-chukua jani au mrija wa jani la mpapai
- washa hiyo ndulele kwa moto
-vuta moshi wake kwa mrija wa mpapai

---huo moshi usiumeze bali ufunge mdomo kwa dakika zisizopungua tatu then fungua mdomo
.....
.....
Matokeo yatakushangaza hasa haya na namba mbili
Kuna MTU alikuwa ananipatia huu utaratibu ila akashindwa kuunga sentensi vizuri nikasema ngoja niingie JF. Niko na kichupa cha mafuta ya taa hapa natafuta namna ya kupata ndulele. Nakushukuru sana QUIGLEY.
 
Pole Ila using'oa jino mi nilitumia chumvi ndo imeniponya sijaumwa mpaka Leo chukua chumvi weka kwenye jino linalouma Kaa dakika kadhaa utaona maumivu yanapungua fanya hivyo Kila siku mpaka litapona na ichi kipindi unaumwa jino usile vitu vya sukari kabisaa na usilale na chakula mdomoni make sure unapiga mswaki asubuhi na jioni
 
Pole Ila using'oa jino mi nilitumia chumvi ndo imeniponya sijaumwa mpaka Leo chukua chumvi weka kwenye jino linalouma Kaa dakika kadhaa utaona maumivu yanapungua fanya hivyo Kila siku mpaka litapona na ichi kipindi unaumwa jino usile vitu vya sukari kabisaa na usilale na chakula mdomoni make sure unapiga mswaki asubuhi na jioni
Hii njia ndiyo niliyo tumia,Nilitumia chumvi ya mawe kumumunya kama pipi.Maumivu Yote kwishaa.Hao wanao sema kung'oa,Huwa najiulizaa utang'oa mangapi?
 
Hiyo ndurere iwe mbichi au kavu?
Huo mrija wa jani la mpapai ni lile bomba (shina) la jani au unakunja jani kutengeneza mrija??

QUIGLEY
 
Kuna MTU alikuwa ananipatia huu utaratibu ila akashindwa kuunga sentensi vizuri nikasema ngoja niingie JF. Niko na kichupa cha mafuta ya taa hapa natafuta namna ya kupata ndulele. Nakushukuru sana QUIGLEY.
Ndulele ukitumia kusukutulia mswaki inafaa kwa meno unaikamulia tu kwenye mswaki lkn usimemeze wakat wa kuswaki ni sumu baada ya kuswaki unatmia maj ya vuguvugu fnya hivyo wiki 1
 
Uko wapi nikuelekeze...dawa hupatikana kulingana na mazingira yako...mkoa wako.

Kuna mti unaitwa mchunga kaburi unapatikana Arusha, Dodoma, singida hata Shinyanga Tabora na Mwanza.

Kata tawi lake menya maganda na yale maji maji yake sukutua meno.

Pili...kama utapa ndulele;
- ifunge kwenye kitambaa safi cha pamba
-mwagia mafuta ya taa
-chukua jani au mrija wa jani la mpapai
- washa hiyo ndulele kwa moto
-vuta moshi wake kwa mrija wa mpapai

---huo moshi usiumeze bali ufunge mdomo kwa dakika zisizopungua tatu then fungua mdomo
.....
.....
Matokeo yatakushangaza hasa haya na namba mbili
Naomba kuuliza ni ndulele mbichi au kavu? Na je ni jani la mpapai au bomba lake lile watoto hutumia kupuliza Hali si nzuri meno karibia matatu yanauma please help 🙏🙏
 
Back
Top Bottom