prumpeti
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 1,023
- 2,308
- Thread starter
- #21
Nilipata dawa mkùu nitakutumia picha ya majani fulani yani hutasikia maumivu hataNaomba kuuliza ni ndulele mbichi au kavu? Na je ni jani la mpapai au bomba lake lile watoto hutumia kupuliza Hali si nzuri meno karibia matatu yanauma please help 🙏🙏