Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,311
Unaweza nielekeza
huyo drNa Mimi mwanzo nilielewa hivyo lakini baada ya kujishughulisha kutafuta ukweli. Si lazima dawa ya Jino iwe ni kung'oa. Kama Jino halitoboka sana kiasi cha kubakiza vipande vya mizizi basi dawa yake ni kuziba ama baada ya kuua mishipa ya fahamu ya Jino hilo ama Hata ba kuua mishipa hiyo.
Watafute madaktari wa meno mahiri. Mahiri neno Lina uzito hili. Hao watakupa huduma Bora. Madaktari hawa wanapatikana kwa wingi kwenye hospitali za serikali na za binafsi. Pole sana mleta mada.