Msaada: Naomba kujuzwa dawa ya kutibu maumivu ya jino

Unaweza nielekeza
huyo dr
 
Hebu fata maelekezo yangu, leo utalala bila maumivu. Kesho, utajiona umepona.

Ni hivi: -

Kama nilivyosema, dawa yenyewe, waweza kushangaa. Nakushauri usiidharau, na kwa vile ni ya KAWAIDA SANA, ijaribu hutapungukiwa na kitu.
--
Chukua maji ya kawaida tu, sio ya moto au baridi, piga mswaki ukiyasugua meno yote. Ukimaliza, chukua soda ya Cocacola, isiyo ya baridi, ni vizuri ukiimimina kwenye kikombe au jagi. Anza kwa kujaza funda mdomoni.

Sugua meno yote kwa mswaki, kisha unatema hiyo soda. Hakikisha unasugua vizuri yale meno yaumayo, kwa juu na pembeni. Uwe unachukua muda kidogo, ili hiyo soda ipenye vizuri kwenye hayo meno. Na hakikisha hiyo soda inaisha yote.

Nakuhakikishia, baada ya zoezi hilo, hapo hapo utaona mabadiliko fulani. Nishawashauri watu wengi sana, hakuna hata mmoja ambaye hakusaidiwa na DAWA hiyo. Na sio kuwa inatuliza, inaponyesha kabisa.

Nakushauri, we jaribu tu!
 
Tafuta mti(mfumbi) kata magamba yake yaanguke chini yawe ma5...
Okota magamba yaliyofunuka yale yaliyojifunia achana nayo...
Nenda kachemshe mpaka yakaribie kuungulia,ule mchuzi wa mwisho uhifadhi kwenye kikopo...
Piga mswaki kwa hayo maji ukiamka na muda wa kulala...

NB:NASUBIRI FEEDBACK
 
Unaweza nielekeza

huyo dr
Kwa Mbeya nenda Agha Khan hospital ipo Karibu na stend kuu ya mabasi ya mikoni. Pia hospitali y UWATA Mbeya, ingawa sina hakika kama yule dentist bado yupo pale. Hospital za serikali, nasikia huko Morogoro Kuna hospital ya Sabasaba. Kwa Dar es Salaam. Nadhani walioko huko wanisaidie kukuelekeza. Asante.
 
Wapendwa za jioni

Aki jino linaniuma sana na sitaki kulitoa mwenyew anajua dawa mzuri aki nisaidieni nashindwa kuongea na simu kabisa pleas anaejua dawa
Nina nti hapa ukiuchemsha na kusukutua Yale maji ndani ya nusu SAA utakua umepona. Najua jina lake kwa kilugha. Sijui nitakuambiaje.

Mti huu unapatikana Sana Dar.
 
Chovya njiti ya kiberiti kwenye furushi bichi la kimba la mtu mzima lililoshushwa dakika 5 zilizopita na upake kidogo kwenye jino Sumbufu nakwambia utakuja nishukuru humu
 
Acheni kudanganyana, kung'oa ni option ya mwisho kabisa, mi kuna jino niliwah kung'oa najilaumu mpka kesho.

Tafuta daktari anayeeleweka, kuna root canal treatment na kuna kuziba, maumivu utayasikia kwenye bomba tu.
 
Nunua vidonge vya ampiclox dozi .
Vitakusaidia kuua maambukizi ya bacteria kwenye jino na kukausha pia , meza ampiclox pmj na paracetamol ,
Pili zingatia usafi wa kinywa asubuhi na jion uswaki >>>tumia Colgate max n nzur , baada ya kula pia chakula Cha mchana sukutua usibaki na mabaki ya chakula .
NB: jino litatulia tu kwa muda mrefu had utasahau maumivu ya jino but haziponeshi otherwise ukang'oe[emoji1]
 
Dawa ipo.nenda duka la asili.kuna dawa jina nimeisahau.ni kusukutua.ukiweka mdomoni inatoa povu.ni nzuri Sana.wanauza 2,000 mpaka 3,000.
Unatumia asubuhi,mchana na jioni
Nenda kanunue.inaua wadudu wote
 
Mim naumwa jino hapa ,napitia maoni ya wadau ili nijitibu, ila pia naogopa hii dawa yako mkuu inaweza kuanza kunipa experience ya kuanza kuvuta shisha!😂
 
Mim naumwa jino hapa ,napitia maoni ya wadau ili nijitibu, ila pia naogopa hii dawa yako mkuu inaweza kuanza kunipa experience ya kuanza kuvuta shisha!😂
Wasiwasi wako tu
 

Kamuone Dr wa meno ili ujue kwanini hasa jino linauma. Je una tobo chini ya jino, infection au nini hasa
 
Mimi jino lilitoboka niliamua tuu kuosha meno kwa CLENORA mouthwash sasa hivi hata punje ya mhindi ikiingia haliumi. Mimi siyo daktari niliamua tuu na imenisaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…