Msaada: Naomba nijue stahiki za watoto wangu

Msaada: Naomba nijue stahiki za watoto wangu

alishaenda yeye kudai watoto ustawi naona wamepewa hongo maan wananishaur baba ana haki ya kuwachukua eti watoto ndo maan nikataka kuenda mahakamani
Ni ukweli Sheria ya Ndoa inapa baba haki ya kukaa na watoto. Katika hali ya kawaida, mtoto wa chini ya miaka saba anapaswa kukaa na mama yake kama mazingira ni mazuri. Maamuzi ya nani akae na mtoto hutegemea umri na maslahi mapana ya mtoto.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
inawezekana ikawa side story ila ningekuwa mbaya ningeweka madhaifu yake au ningesimulia pengine upande wake kwa ubaya zaidi nilichosema haijalishi nani alikuwa mkosefu kwenye ndoa ila tumeachana shida ipo kwann haudumii watoto halaf anataka watoto? anahisi kwamba pesa anayotoa mimi nitaila?? au anawazaje? na mm sio mtu wa starehe nipo nyumban na biasharra zangu sinywi pombe sizururi ovyo nikitoka biashara nazofanya napika home naweka dukani so kwamuda mwingi nipo ndani tu nikitoka jumapil kanisani basi
Kama huwezi kuwahudimia mwachie akawatunze. Baadhi ya wanawake wamekuwa wakitumia hali hii kama mradi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
mimi sijaachana na mume wangu ila yeye ndo aliyeniacha familia yake ilikuwa hainipendi mm hivo mwanaume akaona bora awe na familia yake hivyo tukaamua kuachana kwa talaka za kiislam nikaamua kurud kwetu na alinambia hatanipa chochote hivo niliondoka na watoto wangu na niliachwa kipind nmejifungua mtoto wangu wa mwisho ana week 2 nilimzaa njiti niliamua kurud kwetu kwakuwa sikuwa na kazi nikaamua kupika pika vitafunio asa mtu kama uyo unaanzaje kuwa nae akat yeye hatak? nshajaribu sana kumwambia tuishi pamoja kwa maslah ya watoto ikashindikana anajibu hatuwez kuwa pamoja asa nakuwa nae vip akat yeye hanitaki? nishajishusha sana mpama familia yangu inaniona mjinga ila imeshindikana nifanyaje?
Pole sana bibie,
 
Habari ipo hivi,

Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil. Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.

Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama? Je, mahakamani ni nini wanaangalia? Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer, nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.

Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
Siyo kumis tu maana mala nyingi ma single mother ndo huwa chanzo cha uchochezi wa watoto wa mtaani
 
Habari ipo hivi,

Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil. Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.

Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama? Je, mahakamani ni nini wanaangalia? Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer, nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.

Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
2. NI UMRI GANI MTOTO AKAE NA MAMA.
Kifungu cha 26( 2 ) cha Sheria ya mtoto, namba 21 ya 2009 kinasema kuwa ni vizuri mtoto aliye chini ya umri wa miaka saba akae na mama. Hata hivyo ni vema kufahamu kuwa kifungu hiki hakikusema ni lazima( shall) mtoto wa umri huo akae na mama.
Kifungu kinasema suala la mtoto chini ya umri wa miaka saba kukaa na mama ni dhana inayoweza kutozingatiwa( rebuttable presumption). Ni dhana inayoweza kutozingatiwa kwa maana kuwa zipo sababu ambazo mtoto chini ya umri huo inaweza kuamuliwa kukaa na baba au mtu mwingine yeyote ambaye ataonekana kufaa zaidi kuliko mama.
Kwahiyo lazima tuzingatie kuwa sio lazima mtoto chini ya umri wa miaka 7 kukaa na mama.
3. SABABU ZIPI MTOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA 7 ATAAMULIWA KUKAA NA BABA.
Kifungu cha 37( 4 ) kinasema kuwa katika kutoa amri ya mtoto akae na nani mahakama itatakiwa kuzingatia maslahi mapana ya mtoto husika( best interest of the child). Kwahiyo habari sio kwamba lazima mtoto akae na mama au baba laa hasha, isipokuwa habari ni maslahi mapana ya mtoto, wapi mtoto atapata malezi bora.
Hii ndiyo sababu au kigezo kikuu kinachozingatiwa na mahakama inapokuwa inaamua. Kwa ufupi maslahi mapana ya mtoto ni kama, wapi kuna mazingira mazuri kwa mtoto, ni mzazi yupi anajali kuliko mwingine, wapi atapata matunzo bora, wapi hatanyanyaswa, mzazi yupi ni mlevi, kahaba na ana tabia mbaya, ikiwa kuna mzazi ana matatizo ya akili, magonjwa ya kuambukiza n.k.
Kwa hiyo kwa ujumla niseme kuwa mtoto chini ya umri wa miaka 7 ni vizuri kukaa na mama lakini ikiwa baba atathibitisha mambo ambayo hayafai kwa mama basi anaweza kupewa mtoto na akaachwa mama .

nimeitoa kutoka: Ruheso-Tanzania
 
sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.

Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
KUPITIA UZOEFU WANGU,
NAONA KUNA MASHINDANO KATI YENU WAZAZI NA WANAO UMIA NI WATOTO.
KUNA UWEZEKANO MKUBWA NDUGU ZAKO, AU MWANAUME WA NJE ANAKUPANDISHA KICHWA, KIASI UNAJIONA UNAWEZA KUSHINDANA NA MZAZI MWENZIO. HAPA NDIPO WENGI WANAKOSEA.

WANAUME ALIUMBIWA KUPENDA, NA KAMA ALIKUCHAGUA KATI YA WENGI NA LEO KAKUKIMBIA NI ISHARA KUNA TATIO UPANDE WAKO.
VYEMA UKAKUBALI HATA WEWE UNA MAPUNGUFU KAMA ALIVYO YEYE, NA NI CHANZO CHA ANGUKO LENU
ANGALIA SANA WALIO KUZUNGUKA WANAWEZA WASIWE WASHAURI WAZURI KWAKO HATA KAMA NI WAZAZI.

NAKUSHAURI: TAFUTA SULUHU NA MWENZIO NJE YA HAYA MAMBO YA SHERIA KWA AFYA NA USTAWI WA WATOTO WAKO.
MAHAKAMANI ANAWEZA AMLIWA KULIPA LAKI MOJA KWA KILA MTOTO KWA MWEZI. MKIKUBALINA WENYEWE, KWA HIARI YAKE, BABA ANAWEZA KUWA NA UWEZO WA KUTOA MATUNZO ZAIDI YA LAKI TANO KWA MWEZI, KUSOMESHA SHULE NZURI, KUWAWEKEA BIMA YA MAISHA, KUWATAFUTIA VITEGEA UCHUMI KAMA VIWANJA NA MASHAMBA NK

AISEE POLE SANA
 
KUPITIA UZOEFU WANGU,
NAONA KUNA MASHINDANO KATI YENU WAZAZI NA WANAO UMIA NI WATOTO.
KUNA UWEZEKANO MKUBWA NDUGU ZAKO, AU MWANAUME WA NJE ANAKUPANDISHA KICHWA, KIASI UNAJIONA UNAWEZA KUSHINDANA NA MZAZI MWENZIO. HAPA NDIPO WENGI WANAKOSEA.

WANAUME ALIUMBIWA KUPENDA, NA KAMA ALIKUCHAGUA KATI YA WENGI NA LEO KAKUKIMBIA NI ISHARA KUNA TATIO UPANDE WAKO.
VYEMA UKAKUBALI HATA WEWE UNA MAPUNGUFU KAMA ALIVYO YEYE, NA NI CHANZO CHA ANGUKO LENU
ANGALIA SANA WALIO KUZUNGUKA WANAWEZA WASIWE WASHAURI WAZURI KWAKO HATA KAMA NI WAZAZI.

NAKUSHAURI: TAFUTA SULUHU NA MWENZIO NJE YA HAYA MAMBO YA SHERIA KWA AFYA NA USTAWI WA WATOTO WAKO.
MAHAKAMANI ANAWEZA AMLIWA KULIPA LAKI MOJA KWA KILA MTOTO KWA MWEZI. MKIKUBALINA WENYEWE, KWA HIARI YAKE, BABA ANAWEZA KUWA NA UWEZO WA KUTOA MATUNZO ZAIDI YA LAKI TANO KWA MWEZI, KUSOMESHA SHULE NZURI, KUWAWEKEA BIMA YA MAISHA, KUWATAFUTIA VITEGEA UCHUMI KAMA VIWANJA NA MASHAMBA NK

AISEE POLE SANA
nimekuelewa mkuu asante sana
 
huyu baba hajawahi nihudumia labla nikusaidie na alikuwa anatoa laki 2 tu asa nikuulize ww io laki mbili watoto wawil wote wanavaa pampars wanakunywa selelak wanakunywa maziwa bado vyakula bado naul za hosp hiv ww io laki mbili mm napata nn labla? afu usichokijua wamama tuko radhi wanetu waenjoy sisi tuteseke siwez tumia pesa ya mtoto akat mtoto hana mahitaji na iyo uyo mwanaume analofaham ilo hakuwah nihudumia kwenye ndoa sembuse tumeachana?? samahani sana usimjudge mtu kwa mitandao na humjui au hujui nini chanzo
Tatizo wanawake mnakuwa na akili za kitoto sana. Kwa nini unashindana na mtu mwenye hela. Sisi wanaume tukijua huyu mtu ana michongo tunajifanya wajinga ili tutusue. Kama hauwezi kuwalea watoto mwenyewe mpe tu Jamaa. Ukibaki nao utakuja kupigwa mimba na wahuni. Naomba nikuambie ukweli mchungu "hakuna chochote kilichokuwa kinakuweka mjini mbali na cheo cha mke alichokupa jamaa" . Hicho cheo huna anza upya yaani ni kama Tajiri aliyefilisika. Wasogeze watoto kwa baba yao. Jiongezee thamani,jifunze kitu kipya kama ni biashara au fani yenye kupata faida. Mdogo mdogo utasimama mwenyewe. Nakupa hii option kwa sababu hautaki kujishusha mwanzo ni mgumu lakini utaisha.
 
Tatizo wanawake mnakuwa na akili za kitoto sana. Kwa nini unashindana na mtu mwenye hela. Sisi wanaume tukijua huyu mtu ana michongo tunajifanya wajinga ili tutusue. Kama hauwezi kuwalea watoto mwenyewe mpe tu Jamaa. Ukibaki nao utakuja kupigwa mimba na wahuni. Naomba nikuambie ukweli mchungu "hakuna chochote kilichokuwa kinakuweka mjini mbali na cheo cha mke alichokupa jamaa" . Hicho cheo huna anza upya yaani ni kama Tajiri aliyefilisika. Wasogeze watoto kwa baba yao. Jiongezee thamani,jifunze kitu kipya kama ni biashara au fani yenye kupata faida. Mdogo mdogo utasimama mwenyewe. Nakupa hii option kwa sababu hautaki kujishusha mwanzo ni mgumu lakini utaisha.
sawa ila mkuu watoto wadogo aka kengine kananyonya miez 10? nimpe baba yake?
 
mtoto siku zote ni wamama kuwaba ubini ni sheria na taratib zilivyo sio kwamba eti kisa ubini wako mtoto wa baba sio kwel aliyomzaa ndo mwenye mtoto[emoji23]
Na ukibeba mimba huwa mnasema mimba ya nani?, Wanawake hwana mnanichekedhaga sana. Sasa kama mtoto ni wa mama inakuwaje huwa hamuwezi kuwatunza mpaka baba ndo atunze watoto, na wakiwa kwa baba zao huwa hamchangii matunzo
 
sawa ila mkuu watoto wadogo aka kengine kananyonya miez 10? nimpe baba yake?
Hapo hamna jinsi komaa tu ili usichoke kujishusha. Na kuomba msamaha itachukua muda lakini wanaume tunapenda kunyenyekewa. Ila kwenye mambo mengine badilisha maisha yako bana matumizi tambua kuwa unaanza upya komaa utatoboa.
 
Yangu haya;

1. Watoto huwa wanakaa na mama wakiwa wadogo, kama sijakosea chini ya miaka 7. Lakini, mama lazima awena uwezo yeye mwenyewe wa kuwatunza, si ategemee kwa baba yake mzazi (babu wa watoto) au ndugu mwingine katika familia ya mama. Baba mzazi wa watoto anapewa haki ya kuwaona kwa kadri iwezekanavyo.

2. Baba wa watoto ataambiwa kuwatunza watoto kwa maana ya kiasi fulani cha fedha kutegemeana na uwezo wake. Lakini hapo, mama naye anapewa jukumu la kuchangia. Mara nyingi huwa 70% baba, na 30% mama kwa yale yaliyo wazi mfano ada etc

3. Kutengana, hakufanyi mali iliyochumwa iwe ya watoto. Maana wanasema, hata bila mali hiyo watoto mngewalea tu. Hivyo maamuzi huwa ni kuuza kila kilichopatikana mkiwa wanandoa na kugawana baada ya mauzo. Tathmini ya thamani ya mali iliyochumwa hufanywa na mahakama. Ila ikitokea mmoja ameamua kumwachia mwingine, hapo mahakama haitii neno.

4. Wakifika umri wa zaidi ya miaka 7, na jamaa akienda mahakamani, atawachukua tu.

La mwisho ni ushauri;
Acha kushindana na EX-mumeo kwa kujionyesha kuwa unaweza bila yeye. Maana hata
Hata kama wamefikisha miaka Saba au zaidi ya Saba. Mahakama haiwezi kumkabidhi Watoto huyo baba kirahisi hivyo. Kinacho angaliwa ni maslahi mapana ya hao watoto. Kama mama anazo changamoto ambazo zinaathiri kabisa Maendeleo na ustawi wa hao watoto itamkabidhi baba. Pia mahakama itasikiliza maoni ya hao watoto walio na umri zaidi ya miaka Saba wao wanataka kuishi upande upi na Kwa Nini wachague upande huo
Yangu haya;

1. Watoto huwa wanakaa na mama wakiwa wadogo, kama sijakosea chini ya miaka 7. Lakini, mama lazima awena uwezo yeye mwenyewe wa kuwatunza, si ategemee kwa baba yake mzazi (babu wa watoto) au ndugu mwingine katika familia ya mama. Baba mzazi wa watoto anapewa haki ya kuwaona kwa kadri iwezekanavyo.

2. Baba wa watoto ataambiwa kuwatunza watoto kwa maana ya kiasi fulani cha fedha kutegemeana na uwezo wake. Lakini hapo, mama naye anapewa jukumu la kuchangia. Mara nyingi huwa 70% baba, na 30% mama kwa yale yaliyo wazi mfano ada etc

3. Kutengana, hakufanyi mali iliyochumwa iwe ya watoto. Maana wanasema, hata bila mali hiyo watoto mngewalea tu. Hivyo maamuzi huwa ni kuuza kila kilichopatikana mkiwa wanandoa na kugawana baada ya mauzo. Tathmini ya thamani ya mali iliyochumwa hufanywa na mahakama. Ila ikitokea mmoja ameamua kumwachia mwingine, hapo mahakama haitii neno.

4. Wakifika umri wa zaidi ya miaka 7, na jamaa akienda mahakamani, atawachukua tu.

La mwisho ni ushauri;
Acha kushindana na EX-mumeo kwa kujionyesha kuwa unaweza bila yeye. Maana hata uwakatazie vipi, akienda mahakamani anawachukua.
 
Hata kama wamefikisha miaka Saba au zaidi ya Saba. Mahakama haiwezi kumkabidhi Watoto huyo baba kirahisi hivyo. Kinacho angaliwa ni maslahi mapana ya hao watoto. Kama mama anazo changamoto ambazo zinaathiri kabisa Maendeleo na ustawi wa hao watoto itamkabidhi baba. Pia mahakama itasikiliza maoni ya hao watoto walio na umri zaidi ya miaka Saba wao wanataka kuishi upande upi na Kwa Nini wachague upande huo
Sheria nyingi za ndoa zina m favour mwanamke, hii sio sawa
 
mtoto siku zote ni wamama kuwaba ubini ni sheria na taratib zilivyo sio kwamba eti kisa ubini wako mtoto wa baba sio kwel aliyomzaa ndo mwenye mtoto[emoji23]
Pole kwa uliyopitia ila kwa hii coment yako hapo inaonyesha wewe ni miongoni mwa wanawake jeuri sana na wakujifanya wajuaji huku hawana lolote labda kama umecomment bila kufikiri.
Kila la heri
 
Back
Top Bottom