TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Kwenye maugomvi ya mahusiano sidhani kama watoto hua wanahusika na lolote " naa achukiwe mtu anaetumia watoto kama kigezo cha ushetani wake " wakati watoto hawausiki!
Umri huo wa watoto wako bado wana muhitaji mama zaidi kuliko baba, hata baba awe na uwezo upi ila kwa umri huo bado mtoto ni wa mama!
Mwambie akatishe huduma mkutane watoto wakiwa wametimiza miaka 7, watoto watakula unachokula wewe basi!
Umri huo wa watoto wako bado wana muhitaji mama zaidi kuliko baba, hata baba awe na uwezo upi ila kwa umri huo bado mtoto ni wa mama!
Mwambie akatishe huduma mkutane watoto wakiwa wametimiza miaka 7, watoto watakula unachokula wewe basi!