Msaada: Naomba nijue stahiki za watoto wangu

Msaada: Naomba nijue stahiki za watoto wangu

inawezekana ikawa side story ila ningekuwa mbaya ningeweka madhaifu yake au ningesimulia pengine upande wake kwa ubaya zaidi nilichosema haijalishi nani alikuwa mkosefu kwenye ndoa ila tumeachana shida ipo kwann haudumii watoto halaf anataka watoto? anahisi kwamba pesa anayotoa mimi nitaila?? au anawazaje? na mm sio mtu wa starehe nipo nyumban na biasharra zangu sinywi pombe sizururi ovyo nikitoka biashara nazofanya napika home naweka dukani so kwamuda mwingi nipo ndani tu nikitoka jumapil kanisani basi
Pole sana, ila mimi nakushauri muache achukue watoto, bado watabakia kuwa wenu, kwanini unataka kuteseka ilihali watoto wana baba?

Wewe muache achukue watoto ila sheria zinasema unatakiwa uwe na uhuru wa kuwatembelea... Sasa shida iko wapi? Kwanini uishi maisha ya mateso?
 
Habari ipo hivi,

Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil.
Hii maana yake ni ndoa bado ipo, mlitenganaje, kifamilia, ustawi wa jamii or?
Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.
Sio anakutishia but he must have a good reasons. Mwanaume msomi Engineer alikupenda mwanamke wa kawaida, akakupa kila kitu, akakuoa. Unakijua kilichotokea, hapa sii mahali pake!. Ni kufuatia kilichotokea Baba watoto wako anawependa wanae na ana uwezo wa kuwalea vizuri kuliko mama yao, hivyo akijenga hoja valid kuwa mama yao ana maisha gani, baba anapewa wanae. Hiyo huta waona tena ni hasira tuu ya ulichomtenda, anataka kuwatumia watoto kama fimbo ya kukuchapia!.
Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama?
Yes ukienda mahakamani utapata haki yako ikiwa ni pamoja na kunyanganywa watoto kutokana na kuishi maisha yasiyoeleweka.
Je, mahakamani ni nini wanaangalia?
Wanaangalia unaishije na unaweza kuletea vema kuliko baba yao?.
Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer,
Mama mpika vitafunwa mashuleni, huna kipato cha kuwalea vizuri watoto wa Engineer, hivyo amegundua unawatumia watoto ili kuvuta child support na kuegemea hapo.
nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.
Msaada mkubwa wa kwanza ni Baba watoto wako anakupenda sana na anawapenda sana watoto wake, hataki wateseke na mama muuza vitafunwa asubuhi halafu usiku... hivyo ameona awaokoe wanae!. Msaada mkubwa wa kwanza ni jishushe omba msamaha mnurudiane, mwambie kilichotokea kati yenu ni shetani tuu alikupitia!. Wanaume tukipenda tunasamehe na amini usiamini utakuwa ni one of the best wife material!.
Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
Pole sana, mimi ni baba niliyopitia hayo aliyopitia mwenzangu, niliwachukua watoto mkubwa akiwa 4 years na mdogo 2 years!. Niliwalea mwenyewe for 10 good years ndio nikaamua kusamehe!.

Usiwatumie watoto kama means ya kuvuta child support, jishushe omba msamaha, atakusamehe na mtalea watoto wenu kwa amani. Sisi wanaume tukipenda ni wajinga sana!, mimi nilipenda nimekufa nimeoza, alikuwa ananirudia asubuhi na bado nampenda. Mimi humu ni Mwalimu wa kupenda nimewafundisha wanaume humu kupenda Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
P
 
Yangu haya;

1. Watoto huwa wanakaa na mama wakiwa wadogo, kama sijakosea chini ya miaka 7. Lakini, mama lazima awena uwezo yeye mwenyewe wa kuwatunza, si ategemee kwa baba yake mzazi (babu wa wattoto) au ndugu mwingine katika familia ya mama. Baba mzazi wa watoto anapewa haki ya kuwaona kwa kadri iwezekanavyo.

2. Baba wa watoto ataambiwa kuwatunza watoto kwa maana ya kiasi fulani cha fedha kutegemeana na uwezo wake. Lakini hapo, mama naye anapewa jukumu la kuchangia. Mara nyingi huwa 70% baba, na 30% mama kwa yale yaliyo wazi mfano ada etc

3. Kutengana, hakufanyi mali iliyochumwa iwe ya watoto. Maana wanasema, hata bila mali hiyo watoto mngewalea tu. Hivyo maamuzi huwa ni kuuza kila kilichopatikana mkiwa wanandoa na kugawana baada ya mauzo. Tathmini ya thamani ya mali iliyochumwa hufanywa na mahakama. Ila ikitokea mmoja ameamuacha kumwachia mwingine, hapo mahakama haitii neno.

4. Wakifika umri wa zaidi ya miaka 7, na jamaa akienda mahakamani, atawachukua tu.

La mwisho ni ushauri;
Acha kushindana na EX-mumeo kwa kujionyesha kuwa unaweza bila yeye. Maana hata uwakatazie vipi, akienda mahakamani anawachukua.
Thanks for this, umemsaidia sana, hata akibana vipi, mwisho lazima ataachia tuu!
P
 
Pole dear ila kamwe usimpeleke kwenye sheria/ustawi.

Jishushe mpendwa.
Sio ujinga kujishusha kwa mwanaume wako maana tumeumbwa kuwa chini yao.
JISHUSHE SHOSTI...JISHUSHE...JINYENYEKEZE..JISHUSHE.

Pia anza kuwafundisha watoto kumuonesha upendo baba yao.Wape simu waongee nae..Wafundishe maneno mazuri yakumuambia daddy..

Wapige picha na video wakiwa kwenye moments zakufurahisha mtumie.

Kamwe huwezi kushindana na mwanaume ukashinda hata serikakli/ustawi ikikusaidia.Utakayeumia ni wewe na wanao.

Mungu akuongoze dear.
 
inawezekana ikawa side story ila ningekuwa mbaya ningeweka madhaifu yake au ningesimulia pengine upande wake kwa ubaya zaidi nilichosema haijalishi nani alikuwa mkosefu kwenye ndoa ila tumeachana shida ipo kwann haudumii watoto halaf anataka watoto? anahisi kwamba pesa anayotoa mimi nitaila?? au anawazaje? na mm sio mtu wa starehe nipo nyumban na biasharra zangu sinywi pombe sizururi ovyo nikitoka biashara nazofanya napika home naweka dukani so kwamuda mwingi nipo ndani tu nikitoka jumapil kanisani basi
Kwa ubaya wowote aliokufanyia ukimsamehe ukajishusha kwake mkarudiana utakua umewapa wanao zawadi kubwa kuliko zote.Hizo child support unazodai hazina faida kama watoto wako kulelewa na baba na mama yao.

Hata kama ka cheat msamehe huko nje ulikokimbilia utakutana na wanaume wa ajabu hadi utajiona mjinga kumuacha mumeo.

Shauri yako!
 
Kwa ubaya wowote aliokufanyia ukimsamehe ukajishusha kwake mkarudiana utakua umewapa wanao zawadi kubwa kuliko zote.Hizo child support unazodai hazina faida kama watoto wako kulelewa na baba na mama yao.

Hata kama ka cheat msamehe huko nje ulikokimbilia utakutana na wanaume wa ajabu hadi utajiona mjinga kumuacha mumeo.

Shauri yako!
mimi sijaachana na mume wangu ila yeye ndo aliyeniacha familia yake ilikuwa hainipendi mm hivo mwanaume akaona bora awe na familia yake hivyo tukaamua kuachana kwa talaka za kiislam nikaamua kurud kwetu na alinambia hatanipa chochote hivo niliondoka na watoto wangu na niliachwa kipind nmejifungua mtoto wangu wa mwisho ana week 2 nilimzaa njiti niliamua kurud kwetu kwakuwa sikuwa na kazi nikaamua kupika pika vitafunio asa mtu kama uyo unaanzaje kuwa nae akat yeye hatak? nshajaribu sana kumwambia tuishi pamoja kwa maslah ya watoto ikashindikana anajibu hatuwez kuwa pamoja asa nakuwa nae vip akat yeye hanitaki? nishajishusha sana mpama familia yangu inaniona mjinga ila imeshindikana nifanyaje?
 
Hii maana yake ni ndoa bado ipo, mlitenganaje, kifamilia, ustawi wa jamii or?

Sio anakutishia but he must have a good reasons. Mwanaume msomi Engineer alikupenda mwanamke wa kawaida, akakupa kila kitu, akakuoa. Unakijua kilichotokea, hapa sii mahali pake!. Ni kufuatia kilichotokea Baba watoto wako anawependa wanae na ana uwezo wa kuwalea vizuri kuliko mama yao, hivyo akijenga hoja valid kuwa mama yao ana maisha gani, baba anapewa wanae. Hiyo huta waona tena ni hasira tuu ya ulichomtenda, anataka kuwatumia watoto kama fimbo ya kukuchapia!.

Yes ukienda mahakamani utapata haki yako ikiwa ni pamoja na kunyanganywa watoto kutokana na kuishi maisha yasiyoeleweka.

Wanaangalia unaishije na unaweza kuletea vema kuliko baba yao?.

Mama mpika vitafunwa mashuleni, huna kipato cha kuwalea vizuri watoto wa Engineer, hivyo amegundua unawatumia watoto ili kuvuta child support na kuegemea hapo.

Msaada mkubwa wa kwanza ni Baba watoto wako anakupenda sana na anawapenda sana watoto wake, hataki wateseke na mama muuza vitafunwa asubuhi halafu usiku... hivyo ameona awaokoe wanae!. Msaada mkubwa wa kwanza ni jishushe omba msamaha mnurudiane, mwambie kilichotokea kati yenu ni shetani tuu alikupitia!. Wanaume tukipenda tunasamehe na amini usiamini utakuwa ni one of the best wife material!.

Pole sana, mimi ni baba niliyopitia hayo aliyopitia mwenzangu, niliwachukua watoto mkubwa akiwa 4 years na mdogo 2 years!. Niliwalea mwenyewe for 10 good years ndio nikaamua kusamehe!.

Usiwatumie watoto kama means ya kuvuta child support, jishushe omba msamaha, atakusamehe na mtalea watoto wenu kwa amani. Sisi wanaume tukipenda ni wajinga sana!, mimi nilipenda nimekufa nimeoza, alikuwa ananirudia asubuhi na bado nampenda. Mimi humu ni Mwalimu wa kupenda nimewafundisha wanaume humu kupenda Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
P
nimekuelewa ila shida mwanaume ndio hanitaki kaka nishajaribu sana kuomba msamaha tuishi ila mama mzazi wa mume ndo mwiba namwanaume anamsikiliz mama yake aliniacha nikiwa na mtoto mdogo nilipambana mwenyew akajarib kuwapokonya watoto mara anitishie kustopisha pesa ya matumiz mie napambana mwenyew

na umesema mtoto wa engeneer hawez kulelewa na mama mpika vitumbua?? HII KAULI YAKO ULOVYOIANDIKA ULIIONA IPO SAHIHI MKUU?? KWAN WANGAPI WAMESOMESHWA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NA WAKAFANYA VIZUR? INA MAAN KAMA BABA ANGEKUBALI KUTOTOA MATUNZO YA WATOTO WAKE IKIWA ANAWAPENDA?? ANGEWAPENDA ANGEWAJALI WATOTO NA TUNGEKAA CHINI TUWEKE MSTAKABADHI WAKULEA WATOTO WETU SIO KUKAA KIMYA NA KUSEMA WATOTO WAKIKUA WATAMTAFUTA HALAF UNASEMA HUYU BABA ANA UPENDO NA WATOTO WAKE?? NAPAMBANA KWAAJILI YA WANANGU SIJASOMA NMEISHIA FORM FOUR ULITAKA NIIJIUZE NILEE WANANGU??? NILIJUA UNGEPONGEZA JUHUDI YA KUHANGAIKA WANANGU WALE UNAKUJA KUSEMA MTOTO WA ENGNEER HALELEW NA MAMA MPIKA VITUMBUA REALLY?? KAUL YAKO IMENIUMIZA SANA ...ANGEWAPENDA WANAE ANGEWAJALI SIO KUNISUSIA MIMI WATOTO ..
 
Pole lakini kuachana haijawahi kuwa suluhu ya changamoto zinazokabili wanandoa, jitahidini kuweka changamoto zenu kando mlee familia mliyoianzisha kwa pamoja. Kuachana kwenu panaathiri pakubwa hata mustakabali wa watoto wenu wasiokuwa na hatia
naumia sana hili mkuu naumia mnoo naipenda familia yangu ila jitihada zote zinashindikana maan aman na watoto sina kutwa kutishiwa ndo maan naenda mahakamani basi mahakama ikiamua mama mpika vitumbua apokonywe watoto nitaridhia sababu sheria imesema ivo
 
mimi sijaachana na mume wangu ila yeye ndo aliyeniacha familia yake ilikuwa hainipendi mm hivo mwanaume akaona bora awe na familia yake hivyo tukaamua kuachana kwa talaka za kiislam nikaamua kurud kwetu na alinambia hatanipa chochote hivo niliondoka na watoto wangu na niliachwa kipind nmejifungua mtoto wangu wa mwisho ana week 2 nilimzaa njiti niliamua kurud kwetu kwakuwa sikuwa na kazi nikaamua kupika pika vitafunio asa mtu kama uyo unaanzaje kuwa nae akat yeye hatak? nshajaribu sana kumwambia tuishi pamoja kwa maslah ya watoto ikashindikana anajibu hatuwez kuwa pamoja asa nakuwa nae vip akat yeye hanitaki? nishajishusha sana mpama familia yangu inaniona mjinga ila imeshindikana nifanyaje?
Pole mwaya.

Yote kwa yote hakikisha wanae wanampenda no matter what.Ipo faida katika hilo.

Again,Mungu akufanyie wepesi dear.
 
Sijui nini kilitokea..

Ila unaonekana mwanamke muungwana tu.

Ila inaonekana mmetengana kienyeji ndio maana yote hayo yanatokea otherwise bado mnapendana sema mnaviziana.

Ila kama kweli umeamua kutengana na Mumeo na upate hatma ya watoto.

Ni rahisi tu, Nenda Mahakamani.

Sheria itaamua.
 
nimekuelewa ila shida mwanaume ndio hanitaki kaka nishajaribu sana kuomba msamaha tuishi ila mama mzazi wa mume ndo mwiba namwanaume anamsikiliz mama yake aliniacha nikiwa na mtoto mdogo nilipambana mwenyew akajarib kuwapokonya watoto mara anitishie kustopisha pesa ya matumiz mie napambana mwenyew

na umesema mtoto wa engeneer hawez kulelewa na mama mpika vitumbua?? HII KAULI YAKO ULOVYOIANDIKA ULIIONA IPO SAHIHI MKUU?? KWAN WANGAPI WAMESOMESHWA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NA WAKAFANYA VIZUR? INA MAAN KAMA BABA ANGEKUBALI KUTOTOA MATUNZO YA WATOTO WAKE IKIWA ANAWAPENDA?? ANGEWAPENDA ANGEWAJALI WATOTO NA TUNGEKAA CHINI TUWEKE MSTAKABADHI WAKULEA WATOTO WETU SIO KUKAA KIMYA NA KUSEMA WATOTO WAKIKUA WATAMTAFUTA HALAF UNASEMA HUYU BABA ANA UPENDO NA WATOTO WAKE?? NAPAMBANA KWAAJILI YA WANANGU SIJASOMA NMEISHIA FORM FOUR ULITAKA NIIJIUZE NILEE WANANGU??? NILIJUA UNGEPONGEZA JUHUDI YA KUHANGAIKA WANANGU WALE UNAKUJA KUSEMA MTOTO WA ENGNEER HALELEW NA MAMA MPIKA VITUMBUA REALLY?? KAUL YAKO IMENIUMIZA SANA ...ANGEWAPENDA WANAE ANGEWAJALI SIO KUNISUSIA MIMI WATOTO ..
Hatuwezi kujipendekeza kwa huyu mama dear?

Ujue wamama sometimes wanataka kuonyesha wao ndo final say na wake tunataka kuonesha sisi ndo final say na ukute mwanaume kalelewa na mama yake kwa shida hapo hekima isipotumika mwanaume anakua upande wa mamake.

Ukweli ni kwamba mke ndio ana nguvu kwa mwanaume ila ukiwa na hekima unatakiwa ufanye mama aone yeye ndio mwenye nguvu.

Bado sijakata tamaa.Anza kujipendekeza kwa mama mkwe huyo.Mpelekee wajukuu.
Wape simu wawe wanamsalimia bibi.
Ukiwa kule ongea vitu vizuri kuhusu mwanae.
Ukisikia anaumwa nenda fasta na watoto.
Mnyenyekee hadi ajione King's mother.Kama mwanzo ulikua unaenda nae jino kwa jino halafu sasa akaona unajishusha atajua kuwa sasa ushaelewa kuwa yeye ndio zaidi.
Inaweza ikasaidia.
Jaribu ikishindikana basi wao sio Mungu maisha yasonge.
 
Habari ipo hivi,

Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil. Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.

Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama? Je, mahakamani ni nini wanaangalia? Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer, nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.

Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
HuWezi kuporwa watoto bila sababu,utakuwa hujatulia wewe
 
Back
Top Bottom