Msaada: Naomba nijue stahiki za watoto wangu

Msaada: Naomba nijue stahiki za watoto wangu

naumia sana hili mkuu naumia mnoo naipenda familia yangu ila jitihada zote zinashindikana maan aman na watoto sina kutwa kutishiwa ndo maan naenda mahakamani basi mahakama ikiamua mama mpika vitumbua apokonywe watoto nitaridhia sababu sheria imesema ivo
Unastahili Pole mkuu.....
Chochote kile kilichotokea pole.
Jiulize kipi bora Watoto wako walelewe na mumeo au wewe? Wapi unaona watapata mahitaji yote muhimu?
Afya, chakula, malazi, mavazi n.k
Kwanini muwaweke kwenye tabu ambayo hawakuistahili wala kuichagua.
Wapeleke kwa baba yao, wawe wanakuja kukutembelea weekends au wewe kwenda.
Endelea na biashara zako ukuze kipato chako, siku moja na wewe utakuwa mtu.

Kuwapenda watoto sio kuwakumbatia uonekane mpambanaji, kuwapenda ni kuwachagulia kilicho bora kwa manufaa yao.
Unavyoendelea kuwakazania inaonesha unataka pesa ya matumizi ya watoto uipige ( hata kama sio hivyo).
 
nimekuelewa ila shida mwanaume ndio hanitaki kaka nishajaribu sana kuomba msamaha tuishi ila mama mzazi wa mume ndo mwiba namwanaume anamsikiliz mama yake aliniacha nikiwa na mtoto mdogo nilipambana mwenyew akajarib kuwapokonya watoto mara anitishie kustopisha pesa ya matumiz mie napambana mwenyew
Pole sana
na umesema mtoto wa engeneer hawez kulelewa na mama mpika vitumbua?? HII KAULI YAKO ULOVYOIANDIKA ULIIONA IPO SAHIHI MKUU??
Naomba unisamehe sana!.
KWAN WANGAPI WAMESOMESHWA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NA WAKAFANYA VIZUR?
Ni kweli samahani sana
INA MAAN KAMA BABA ANGEKUBALI KUTOTOA MATUNZO YA WATOTO WAKE IKIWA ANAWAPENDA?? ANGEWAPENDA ANGEWAJALI WATOTO NA TUNGEKAA CHINI TUWEKE MSTAKABADHI WAKULEA WATOTO WETU SIO KUKAA KIMYA NA KUSEMA WATOTO WAKIKUA WATAMTAFUTA HALAF UNASEMA HUYU BABA ANA UPENDO NA WATOTO WAKE??
Kitendo cha kutoa matumizi ni kujali na kujali ni kupenda.
NAPAMBANA KWAAJILI YA WANANGU SIJASOMA NMEISHIA FORM FOUR ULITAKA NIIJIUZE NILEE WANANGU???
Pole na samahani tena
NILIJUA UNGEPONGEZA JUHUDI YA KUHANGAIKA WANANGU WALE UNAKUJA KUSEMA MTOTO WA ENGNEER HALELEW NA MAMA MPIKA VITUMBUA REALLY??
Pole na samahani sana
KAUL YAKO IMENIUMIZA SANA .
Pole sana sana sana, mimi ni mwanaume niliotendwa hivyo nikaside na mumeo nikijua ulimtenda, kumbe umeolewa na mtoto wa mama!. Pole!
..ANGEWAPENDA WANAE ANGEWAJALI SIO KUNISUSIA MIMI WATOTO ..
Pole tena na pambana.
P
 
Hatuwezi kujipendekeza kwa huyu mama dear?

Ujue wamama sometimes wanataka kuonyesha wao ndo final say na wake tunataka kuonesha sisi ndo final say na ukute mwanaume kalelewa na mama yake kwa shida hapo hekima isipotumika mwanaume anakua upande wa mamake.

Ukweli ni kwamba mke ndio ana nguvu kwa mwanaume ila ukiwa na hekima unatakiwa ufanye mama aone yeye ndio mwenye nguvu.

Bado sijakata tamaa.Anza kujipendekeza kwa mama mkwe huyo.Mpelekee wajukuu.
Wape simu wawe wanamsalimia bibi.
Ukiwa kule ongea vitu vizuri kuhusu mwanae.
Ukisikia anaumwa nenda fasta na watoto.
Mnyenyekee hadi ajione King's mother.Kama mwanzo ulikua unaenda nae jino kwa jino halafu sasa akaona unajishusha atajua kuwa sasa ushaelewa kuwa yeye ndio zaidi.
Inaweza ikasaidia.
Jaribu ikishindikana basi wao sio Mungu maisha yasonge.
Ndoa ni upendo, kama hakuna upendo basi hakuna ndoa.
Shida yetu sisi binadamu hatujui kuwa ndoa ni ya mke na mume (ya watu wawili).
Ukianza kuweka mawazo ya watu wengine ndoa lazima ivunjike.
Mama mkwe, baba mkwe (wa pande zote mbili) na wengine hawana amri kwenye ndoa.
Huko kujipendekeza ni jambo zuri ila ni baya sana kwasababu mama mkwe hana amri yoyote kwenye ndoa ya mwanae.
 
Hatuwezi kujipendekeza kwa huyu mama dear?

Ujue wamama sometimes wanataka kuonyesha wao ndo final say na wake tunataka kuonesha sisi ndo final say na ukute mwanaume kalelewa na mama yake kwa shida hapo hekima isipotumika mwanaume anakua upande wa mamake.

Ukweli ni kwamba mke ndio ana nguvu kwa mwanaume ila ukiwa na hekima unatakiwa ufanye mama aone yeye ndio mwenye nguvu.

Bado sijakata tamaa.Anza kujipendekeza kwa mama mkwe huyo.Mpelekee wajukuu.
Wape simu wawe wanamsalimia bibi.
Ukiwa kule ongea vitu vizuri kuhusu mwanae.
Ukisikia anaumwa nenda fasta na watoto.
Mnyenyekee hadi ajione King's mother.Kama mwanzo ulikua unaenda nae jino kwa jino halafu sasa akaona unajishusha atajua kuwa sasa ushaelewa kuwa yeye ndio zaidi.
Inaweza ikasaidia.
Jaribu ikishindikana basi wao sio Mungu maisha yasonge.
😳😳😳😳😳😳😳
Duuuuh!! Kazi mnazo!!
 
Ndoa ni upendo, kama hakuna upendo basi hakuna ndoa.
Shida yetu sisi binadamu hatujui kuwa ndoa ni ya mke na mume (ya watu wawili).
Ukianza kuweka mawazo ya watu wengine ndoa lazima ivunjike.
Mama mkwe, baba mkwe (wa pande zote mbili) na wengine hawana amri kwenye ndoa.
Huko kujipendekeza ni jambo zuri ila ni baya sana kwasababu mama mkwe hana amri yoyote kwenye ndoa ya mwanae.
Hao ndio hufia ndoani kisa kujipendekeza wasikotakiwa.
 
Hatuwezi kujipendekeza kwa huyu mama dear?

Ujue wamama sometimes wanataka kuonyesha wao ndo final say na wake tunataka kuonesha sisi ndo final say na ukute mwanaume kalelewa na mama yake kwa shida hapo hekima isipotumika mwanaume anakua upande wa mamake.

Ukweli ni kwamba mke ndio ana nguvu kwa mwanaume ila ukiwa na hekima unatakiwa ufanye mama aone yeye ndio mwenye nguvu.

Bado sijakata tamaa.Anza kujipendekeza kwa mama mkwe huyo.Mpelekee wajukuu.
Wape simu wawe wanamsalimia bibi.
Ukiwa kule ongea vitu vizuri kuhusu mwanae.
Ukisikia anaumwa nenda fasta na watoto.
Mnyenyekee hadi ajione King's mother.Kama mwanzo ulikua unaenda nae jino kwa jino halafu sasa akaona unajishusha atajua kuwa sasa ushaelewa kuwa yeye ndio zaidi.
Inaweza ikasaidia.
Jaribu ikishindikana basi wao sio Mungu maisha yasonge.
Hee mkuu shida yote hiyo ya nini?? Huo muda wa kufanya yote hayo kwa watu wasiokupenda si bora akawekeza nguvu kufanya kazi ajikwamuw kiuchumi???
 
Amwachie mtoto wa mwaka mmoja na miaka 3?? Hao wote si bado wanahitaji malezi ya mama mwingine ananyonya kabisa?? Sema aangalie namna ya kutatua shida hiyo ili isiwaathiri watoto
Ndio
Si jamaa anasema ana hela na anawataka watoto wake?amwachie tu,hata akiwatesa si wanae?
Yani uishi kwa mateso,mume hakutaki,ndugu wazazi wake hawakutaki,halafu unaendelea kukomaa👁️atakufa kwa stress awaache hao watoto yatima
Awaache waende,akipata nafasi ya kuwatembelea,sense,full stop🙏
 
nimekuelewa ila shida mwanaume ndio hanitaki kaka nishajaribu sana kuomba msamaha tuishi ila mama mzazi wa mume ndo mwiba namwanaume anamsikiliz mama yake aliniacha nikiwa na mtoto mdogo nilipambana mwenyew akajarib kuwapokonya watoto mara anitishie kustopisha pesa ya matumiz mie napambana mwenyew

na umesema mtoto wa engeneer hawez kulelewa na mama mpika vitumbua?? HII KAULI YAKO ULOVYOIANDIKA ULIIONA IPO SAHIHI MKUU?? KWAN WANGAPI WAMESOMESHWA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU NA WAKAFANYA VIZUR? INA MAAN KAMA BABA ANGEKUBALI KUTOTOA MATUNZO YA WATOTO WAKE IKIWA ANAWAPENDA?? ANGEWAPENDA ANGEWAJALI WATOTO NA TUNGEKAA CHINI TUWEKE MSTAKABADHI WAKULEA WATOTO WETU SIO KUKAA KIMYA NA KUSEMA WATOTO WAKIKUA WATAMTAFUTA HALAF UNASEMA HUYU BABA ANA UPENDO NA WATOTO WAKE?? NAPAMBANA KWAAJILI YA WANANGU SIJASOMA NMEISHIA FORM FOUR ULITAKA NIIJIUZE NILEE WANANGU??? NILIJUA UNGEPONGEZA JUHUDI YA KUHANGAIKA WANANGU WALE UNAKUJA KUSEMA MTOTO WA ENGNEER HALELEW NA MAMA MPIKA VITUMBUA REALLY?? KAUL YAKO IMENIUMIZA SANA ...ANGEWAPENDA WANAE ANGEWAJALI SIO KUNISUSIA MIMI WATOTO ..
Unasemaje amewasusa watoto wakati ameomba awalee yeye kiasi cha kwenda kufungua shauri ustawi wa jamii?
Kuna kitu kimejificha katika maelezo yako. Something fishy ...

Yaonekana wewe 'umewang'ang'ania' watoto ili hali huwezi kuwahudumia.
Unatufanya tutamani kuhoji kwanini ndugu wa mume wakukatae hivyo?
Ulimtenda nini huyo mdau? Au ulikuwa na tabia gani kwa mumeo na nduguze?

Samahani kama nimekukwaza.
 
Hee mkuu shida yote hiyo ya nini?? Huo muda wa kufanya yote hayo kwa watu wasiokupenda si bora akawekeza nguvu kufanya kazi ajikwamuw kiuchumi???
This attitude!!!
Kuna wakati inabidi ujitoe (sacrifice) kwa ajili ya wanao kama kweli unawapenda.
Huo muda wa kwenda kuwekeza usiwe wakutesa wanao. Waache waende kwa baba yao jitafutie wewe na ukifanikiwa ziada utakuwa na uwezo wakuhudumia wanao baadae.
 
Habari ipo hivi,

Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil. Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.

Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama? Je, mahakamani ni nini wanaangalia? Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer, nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.

Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
Shida iko wapi baba kuchukua wanae?
Kaeni chini muongee, jishushe maana nawe inaonyesha una mdimo mrefu kama walivyo akina mama ntilie
 
Pole sana aisee ,wanawake saa nyingine tunapitia mambo magumu sana hasa ukishakuwa na wattoto.Mimi nilijisemeaga mwenyewe kabla sijapata mwenza naomba Mungu unipe uwezo wa kusimama na miguu yangu miwili na alinisikia ingawa sijawahi kutendwa na mwenza wangu.Huwa nawafundisha watu jinene unachotaka kuwa ,fanya kazi kwa bidii ,focus mshirikishe Mungu muumba wa yote.Kwa sheria za Tanzania ,naona umeshapewa ushauri wa namna ya kukabiliana na hiyo hali.Angalia sasa usiongeze mwingine maana wanawake bana tukibembelezwa kidogo tu tunajisahau sana tunaanza kuwasingizia wanaume na maisha.Pole mwaya
 
Hii maana yake ni ndoa bado ipo, mlitenganaje, kifamilia, ustawi wa jamii or?

Sio anakutishia but he must have a good reasons. Mwanaume msomi Engineer alikupenda mwanamke wa kawaida, akakupa kila kitu, akakuoa. Unakijua kilichotokea, hapa sii mahali pake!. Ni kufuatia kilichotokea Baba watoto wako anawependa wanae na ana uwezo wa kuwalea vizuri kuliko mama yao, hivyo akijenga hoja valid kuwa mama yao ana maisha gani, baba anapewa wanae. Hiyo huta waona tena ni hasira tuu ya ulichomtenda, anataka kuwatumia watoto kama fimbo ya kukuchapia!.

Yes ukienda mahakamani utapata haki yako ikiwa ni pamoja na kunyanganywa watoto kutokana na kuishi maisha yasiyoeleweka.

Wanaangalia unaishije na unaweza kuletea vema kuliko baba yao?.

Mama mpika vitafunwa mashuleni, huna kipato cha kuwalea vizuri watoto wa Engineer, hivyo amegundua unawatumia watoto ili kuvuta child support na kuegemea hapo.

Msaada mkubwa wa kwanza ni Baba watoto wako anakupenda sana na anawapenda sana watoto wake, hataki wateseke na mama muuza vitafunwa asubuhi halafu usiku... hivyo ameona awaokoe wanae!. Msaada mkubwa wa kwanza ni jishushe omba msamaha mnurudiane, mwambie kilichotokea kati yenu ni shetani tuu alikupitia!. Wanaume tukipenda tunasamehe na amini usiamini utakuwa ni one of the best wife material!.

Pole sana, mimi ni baba niliyopitia hayo aliyopitia mwenzangu, niliwachukua watoto mkubwa akiwa 4 years na mdogo 2 years!. Niliwalea mwenyewe for 10 good years ndio nikaamua kusamehe!.

Usiwatumie watoto kama means ya kuvuta child support, jishushe omba msamaha, atakusamehe na mtalea watoto wenu kwa amani. Sisi wanaume tukipenda ni wajinga sana!, mimi nilipenda nimekufa nimeoza, alikuwa ananirudia asubuhi na bado nampenda. Mimi humu ni Mwalimu wa kupenda nimewafundisha wanaume humu kupenda Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
P
Hapa nakupa 95% majibu ya busara sana

Japo kwenye siasa hutumii hizi akili bwana paschal Mayalla
 
Kwani tabu nini bibi eeh
Leo watoto wote peke yako acha kelele na mtu

Kama huwezi kulea
Mwachie awalee kwa ustawi wa maisha yao ya leo na kesho

Kama unawatumia kama sehemu ya kupata hela za kuendesha maisha yako hakika hutowasaidia zaid watapitia ugumu ambao si stahiki yao.

Ushauri chanya na wa mwisho.
Ka chin na mme wako wa zamani myajenge pasipo mashindano na pasipo kutaka kujikweza. Hakika hakuna litakaloshindikana.
Ukafanikiwe kwa ustawi wa maisha bora ya watoto hao

MAHAKAMANI KUNA HAKI
MTAANI KUNA BUSARA
 
Hii maana yake ni ndoa bado ipo, mlitenganaje, kifamilia, ustawi wa jamii or?

Sio anakutishia but he must have a good reasons. Mwanaume msomi Engineer alikupenda mwanamke wa kawaida, akakupa kila kitu, akakuoa. Unakijua kilichotokea, hapa sii mahali pake!. Ni kufuatia kilichotokea Baba watoto wako anawependa wanae na ana uwezo wa kuwalea vizuri kuliko mama yao, hivyo akijenga hoja valid kuwa mama yao ana maisha gani, baba anapewa wanae. Hiyo huta waona tena ni hasira tuu ya ulichomtenda, anataka kuwatumia watoto kama fimbo ya kukuchapia!.

Yes ukienda mahakamani utapata haki yako ikiwa ni pamoja na kunyanganywa watoto kutokana na kuishi maisha yasiyoeleweka.

Wanaangalia unaishije na unaweza kuletea vema kuliko baba yao?.

Mama mpika vitafunwa mashuleni, huna kipato cha kuwalea vizuri watoto wa Engineer, hivyo amegundua unawatumia watoto ili kuvuta child support na kuegemea hapo.

Msaada mkubwa wa kwanza ni Baba watoto wako anakupenda sana na anawapenda sana watoto wake, hataki wateseke na mama muuza vitafunwa asubuhi halafu usiku... hivyo ameona awaokoe wanae!. Msaada mkubwa wa kwanza ni jishushe omba msamaha mnurudiane, mwambie kilichotokea kati yenu ni shetani tuu alikupitia!. Wanaume tukipenda tunasamehe na amini usiamini utakuwa ni one of the best wife material!.

Pole sana, mimi ni baba niliyopitia hayo aliyopitia mwenzangu, niliwachukua watoto mkubwa akiwa 4 years na mdogo 2 years!. Niliwalea mwenyewe for 10 good years ndio nikaamua kusamehe!.

Usiwatumie watoto kama means ya kuvuta child support, jishushe omba msamaha, atakusamehe na mtalea watoto wenu kwa amani. Sisi wanaume tukipenda ni wajinga sana!, mimi nilipenda nimekufa nimeoza, alikuwa ananirudia asubuhi na bado nampenda. Mimi humu ni Mwalimu wa kupenda nimewafundisha wanaume humu kupenda Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
P
 
Wanawake wajuaji kama wewe hiyo ndio dawa yenu, na hapa unajifanya kutafuta huruma kwa kumsemea baba wa watoto wako.
Ni dhahir umewaingiza watoto wako kwenye mgogoro wenu na mwanaume wako, then mlipo tofautiana na kuachana ulijifanya kung'ang'ania watoto wakati kama kinga ili uweze kuendelea kuhudumiwa (wakati hauna uwezo wa kuwahudumia).
Na inaonyesha unavyo tafuta huruma kwa kutuambia kwamba baba watoto wako ni Engineer alafu wewe unapika vitafunwa. Inaonekana ulishauriwa na wajinga wenzako na leo unapitia magumu na wamekaa pembeni.
Minasemaga hivi.....
Ukimuona mtu analeta simulizi za mgogoro wake kwa kisingizio cha watoto kukosa haki, basi huyo mtu mtazame sana... maana inaelekea hata wazazi pamoja na ndugu wamemshindwa huyo mtu anar tafuta huruma sasa mtandaoni.
Haya mpigie Doroth Gwajima kwa 0734124191 / 0765345777 ili upate msaada kabla ya kwenda huko unapo jidanganya utapata msaada (mahakamani), kwani nao watakurudisha ustawi wa jamii.
 
This attitude!!!
Kuna wakati inabidi ujitoe (sacrifice) kwa ajili ya wanao kama kweli unawapenda.
Huo muda wa kwenda kuwekeza usiwe wakutesa wanao. Waache waende kwa baba yao jitafutie wewe na ukifanikiwa ziada utakuwa na uwezo wakuhudumia wanao baadae.
Not attitude mkuu, kusacrifise kwa ajili ya watoto wake sio kwa kujishusha mpaka udharaulike sasa. Kweli kujipendekeza kwa mama mkwe ambae hakupendi ili mwanae atoe matunzo kwa damu yake does it sound right?? Kwanini upendo uwe wa upande mmoja??
Hapo cha msingi baba na mama should grow up wajue majukumu yao trust me hakuna maisha magumu kama kuolewa/ kuzaa na mtoto wa mama yaani ni kama umeengage na mama yake.
 
This attitude!!!
Kuna wakati inabidi ujitoe (sacrifice) kwa ajili ya wanao kama kweli unawapenda.
Huo muda wa kwenda kuwekeza usiwe wakutesa wanao. Waache waende kwa baba yao jitafutie wewe na ukifanikiwa ziada utakuwa na uwezo wakuhudumia wanao baadae.
Na sio kila baba anaweza kulea mkuu, wengine anataka kuchukua mtoto simply sababu ya visasi vya ugomvi wao.

Nina mfano wa rafiki yangu baba mtoto alichukua mtoto yeye hawezi kumlea akampeleka kwa mama yake ( bibi) huko mtoto alikuwa anafungiwa ndani na funguo bibi anaenda kwenye shughuli zake na mtoto ni mdogo bado vipigo visivyoendana na umri wa mtoto. Hadi siku mtoto akapiga simu kwa mama njoo unichukue sitaki kukaa huku.
Kuacha mtoto akakae kwa baba yao ninsawa lakini jee watoto watapata malezi stahiki??
 
Hee mkuu shida yote hiyo ya nini?? Huo muda wa kufanya yote hayo kwa watu wasiokupenda si bora akawekeza nguvu kufanya kazi ajikwamuw kiuchumi???
For me and my kids sake I would do that bila shida kabisa.

Ni bora nionekane mjinga kuliko watoto wangu kulelewa na mama wa kambo.
 
Back
Top Bottom