permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Ni ukweli Sheria ya Ndoa inapa baba haki ya kukaa na watoto. Katika hali ya kawaida, mtoto wa chini ya miaka saba anapaswa kukaa na mama yake kama mazingira ni mazuri. Maamuzi ya nani akae na mtoto hutegemea umri na maslahi mapana ya mtoto.alishaenda yeye kudai watoto ustawi naona wamepewa hongo maan wananishaur baba ana haki ya kuwachukua eti watoto ndo maan nikataka kuenda mahakamani
Kama huwezi kuwahudimia mwachie akawatunze. Baadhi ya wanawake wamekuwa wakitumia hali hii kama mradi.inawezekana ikawa side story ila ningekuwa mbaya ningeweka madhaifu yake au ningesimulia pengine upande wake kwa ubaya zaidi nilichosema haijalishi nani alikuwa mkosefu kwenye ndoa ila tumeachana shida ipo kwann haudumii watoto halaf anataka watoto? anahisi kwamba pesa anayotoa mimi nitaila?? au anawazaje? na mm sio mtu wa starehe nipo nyumban na biasharra zangu sinywi pombe sizururi ovyo nikitoka biashara nazofanya napika home naweka dukani so kwamuda mwingi nipo ndani tu nikitoka jumapil kanisani basi
Pole sana bibie,mimi sijaachana na mume wangu ila yeye ndo aliyeniacha familia yake ilikuwa hainipendi mm hivo mwanaume akaona bora awe na familia yake hivyo tukaamua kuachana kwa talaka za kiislam nikaamua kurud kwetu na alinambia hatanipa chochote hivo niliondoka na watoto wangu na niliachwa kipind nmejifungua mtoto wangu wa mwisho ana week 2 nilimzaa njiti niliamua kurud kwetu kwakuwa sikuwa na kazi nikaamua kupika pika vitafunio asa mtu kama uyo unaanzaje kuwa nae akat yeye hatak? nshajaribu sana kumwambia tuishi pamoja kwa maslah ya watoto ikashindikana anajibu hatuwez kuwa pamoja asa nakuwa nae vip akat yeye hanitaki? nishajishusha sana mpama familia yangu inaniona mjinga ila imeshindikana nifanyaje?
Siyo kumis tu maana mala nyingi ma single mother ndo huwa chanzo cha uchochezi wa watoto wa mtaaniHabari ipo hivi,
Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil. Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.
Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama? Je, mahakamani ni nini wanaangalia? Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer, nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.
Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
Kumbee!ila we kiburi pia nahisimtoto siku zote ni wamama kuwaba ubini ni sheria na taratib zilivyo sio kwamba eti kisa ubini wako mtoto wa baba sio kwel aliyomzaa ndo mwenye mtoto[emoji23]
2. NI UMRI GANI MTOTO AKAE NA MAMA.Habari ipo hivi,
Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil. Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.
Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama? Je, mahakamani ni nini wanaangalia? Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer, nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.
Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
KUPITIA UZOEFU WANGU,sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.
Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
nimekuelewa mkuu asante sanaKUPITIA UZOEFU WANGU,
NAONA KUNA MASHINDANO KATI YENU WAZAZI NA WANAO UMIA NI WATOTO.
KUNA UWEZEKANO MKUBWA NDUGU ZAKO, AU MWANAUME WA NJE ANAKUPANDISHA KICHWA, KIASI UNAJIONA UNAWEZA KUSHINDANA NA MZAZI MWENZIO. HAPA NDIPO WENGI WANAKOSEA.
WANAUME ALIUMBIWA KUPENDA, NA KAMA ALIKUCHAGUA KATI YA WENGI NA LEO KAKUKIMBIA NI ISHARA KUNA TATIO UPANDE WAKO.
VYEMA UKAKUBALI HATA WEWE UNA MAPUNGUFU KAMA ALIVYO YEYE, NA NI CHANZO CHA ANGUKO LENU
ANGALIA SANA WALIO KUZUNGUKA WANAWEZA WASIWE WASHAURI WAZURI KWAKO HATA KAMA NI WAZAZI.
NAKUSHAURI: TAFUTA SULUHU NA MWENZIO NJE YA HAYA MAMBO YA SHERIA KWA AFYA NA USTAWI WA WATOTO WAKO.
MAHAKAMANI ANAWEZA AMLIWA KULIPA LAKI MOJA KWA KILA MTOTO KWA MWEZI. MKIKUBALINA WENYEWE, KWA HIARI YAKE, BABA ANAWEZA KUWA NA UWEZO WA KUTOA MATUNZO ZAIDI YA LAKI TANO KWA MWEZI, KUSOMESHA SHULE NZURI, KUWAWEKEA BIMA YA MAISHA, KUWATAFUTIA VITEGEA UCHUMI KAMA VIWANJA NA MASHAMBA NK
AISEE POLE SANA
Ndiyo ulifanyie kazi kwa kutumia akili ya serikali ya kichwa chako,achana na ushabiki wa kukomowana na mzazi mwenzio!!nimekuelewa mkuu asante sana
Tatizo wanawake mnakuwa na akili za kitoto sana. Kwa nini unashindana na mtu mwenye hela. Sisi wanaume tukijua huyu mtu ana michongo tunajifanya wajinga ili tutusue. Kama hauwezi kuwalea watoto mwenyewe mpe tu Jamaa. Ukibaki nao utakuja kupigwa mimba na wahuni. Naomba nikuambie ukweli mchungu "hakuna chochote kilichokuwa kinakuweka mjini mbali na cheo cha mke alichokupa jamaa" . Hicho cheo huna anza upya yaani ni kama Tajiri aliyefilisika. Wasogeze watoto kwa baba yao. Jiongezee thamani,jifunze kitu kipya kama ni biashara au fani yenye kupata faida. Mdogo mdogo utasimama mwenyewe. Nakupa hii option kwa sababu hautaki kujishusha mwanzo ni mgumu lakini utaisha.huyu baba hajawahi nihudumia labla nikusaidie na alikuwa anatoa laki 2 tu asa nikuulize ww io laki mbili watoto wawil wote wanavaa pampars wanakunywa selelak wanakunywa maziwa bado vyakula bado naul za hosp hiv ww io laki mbili mm napata nn labla? afu usichokijua wamama tuko radhi wanetu waenjoy sisi tuteseke siwez tumia pesa ya mtoto akat mtoto hana mahitaji na iyo uyo mwanaume analofaham ilo hakuwah nihudumia kwenye ndoa sembuse tumeachana?? samahani sana usimjudge mtu kwa mitandao na humjui au hujui nini chanzo
sawa ila mkuu watoto wadogo aka kengine kananyonya miez 10? nimpe baba yake?Tatizo wanawake mnakuwa na akili za kitoto sana. Kwa nini unashindana na mtu mwenye hela. Sisi wanaume tukijua huyu mtu ana michongo tunajifanya wajinga ili tutusue. Kama hauwezi kuwalea watoto mwenyewe mpe tu Jamaa. Ukibaki nao utakuja kupigwa mimba na wahuni. Naomba nikuambie ukweli mchungu "hakuna chochote kilichokuwa kinakuweka mjini mbali na cheo cha mke alichokupa jamaa" . Hicho cheo huna anza upya yaani ni kama Tajiri aliyefilisika. Wasogeze watoto kwa baba yao. Jiongezee thamani,jifunze kitu kipya kama ni biashara au fani yenye kupata faida. Mdogo mdogo utasimama mwenyewe. Nakupa hii option kwa sababu hautaki kujishusha mwanzo ni mgumu lakini utaisha.
Na ukibeba mimba huwa mnasema mimba ya nani?, Wanawake hwana mnanichekedhaga sana. Sasa kama mtoto ni wa mama inakuwaje huwa hamuwezi kuwatunza mpaka baba ndo atunze watoto, na wakiwa kwa baba zao huwa hamchangii matunzomtoto siku zote ni wamama kuwaba ubini ni sheria na taratib zilivyo sio kwamba eti kisa ubini wako mtoto wa baba sio kwel aliyomzaa ndo mwenye mtoto[emoji23]
Hapo hamna jinsi komaa tu ili usichoke kujishusha. Na kuomba msamaha itachukua muda lakini wanaume tunapenda kunyenyekewa. Ila kwenye mambo mengine badilisha maisha yako bana matumizi tambua kuwa unaanza upya komaa utatoboa.sawa ila mkuu watoto wadogo aka kengine kananyonya miez 10? nimpe baba yake?
Hata kama wamefikisha miaka Saba au zaidi ya Saba. Mahakama haiwezi kumkabidhi Watoto huyo baba kirahisi hivyo. Kinacho angaliwa ni maslahi mapana ya hao watoto. Kama mama anazo changamoto ambazo zinaathiri kabisa Maendeleo na ustawi wa hao watoto itamkabidhi baba. Pia mahakama itasikiliza maoni ya hao watoto walio na umri zaidi ya miaka Saba wao wanataka kuishi upande upi na Kwa Nini wachague upande huoYangu haya;
1. Watoto huwa wanakaa na mama wakiwa wadogo, kama sijakosea chini ya miaka 7. Lakini, mama lazima awena uwezo yeye mwenyewe wa kuwatunza, si ategemee kwa baba yake mzazi (babu wa watoto) au ndugu mwingine katika familia ya mama. Baba mzazi wa watoto anapewa haki ya kuwaona kwa kadri iwezekanavyo.
2. Baba wa watoto ataambiwa kuwatunza watoto kwa maana ya kiasi fulani cha fedha kutegemeana na uwezo wake. Lakini hapo, mama naye anapewa jukumu la kuchangia. Mara nyingi huwa 70% baba, na 30% mama kwa yale yaliyo wazi mfano ada etc
3. Kutengana, hakufanyi mali iliyochumwa iwe ya watoto. Maana wanasema, hata bila mali hiyo watoto mngewalea tu. Hivyo maamuzi huwa ni kuuza kila kilichopatikana mkiwa wanandoa na kugawana baada ya mauzo. Tathmini ya thamani ya mali iliyochumwa hufanywa na mahakama. Ila ikitokea mmoja ameamua kumwachia mwingine, hapo mahakama haitii neno.
4. Wakifika umri wa zaidi ya miaka 7, na jamaa akienda mahakamani, atawachukua tu.
La mwisho ni ushauri;
Acha kushindana na EX-mumeo kwa kujionyesha kuwa unaweza bila yeye. Maana hata
Yangu haya;
1. Watoto huwa wanakaa na mama wakiwa wadogo, kama sijakosea chini ya miaka 7. Lakini, mama lazima awena uwezo yeye mwenyewe wa kuwatunza, si ategemee kwa baba yake mzazi (babu wa watoto) au ndugu mwingine katika familia ya mama. Baba mzazi wa watoto anapewa haki ya kuwaona kwa kadri iwezekanavyo.
2. Baba wa watoto ataambiwa kuwatunza watoto kwa maana ya kiasi fulani cha fedha kutegemeana na uwezo wake. Lakini hapo, mama naye anapewa jukumu la kuchangia. Mara nyingi huwa 70% baba, na 30% mama kwa yale yaliyo wazi mfano ada etc
3. Kutengana, hakufanyi mali iliyochumwa iwe ya watoto. Maana wanasema, hata bila mali hiyo watoto mngewalea tu. Hivyo maamuzi huwa ni kuuza kila kilichopatikana mkiwa wanandoa na kugawana baada ya mauzo. Tathmini ya thamani ya mali iliyochumwa hufanywa na mahakama. Ila ikitokea mmoja ameamua kumwachia mwingine, hapo mahakama haitii neno.
4. Wakifika umri wa zaidi ya miaka 7, na jamaa akienda mahakamani, atawachukua tu.
La mwisho ni ushauri;
Acha kushindana na EX-mumeo kwa kujionyesha kuwa unaweza bila yeye. Maana hata uwakatazie vipi, akienda mahakamani anawachukua.
Sheria nyingi za ndoa zina m favour mwanamke, hii sio sawaHata kama wamefikisha miaka Saba au zaidi ya Saba. Mahakama haiwezi kumkabidhi Watoto huyo baba kirahisi hivyo. Kinacho angaliwa ni maslahi mapana ya hao watoto. Kama mama anazo changamoto ambazo zinaathiri kabisa Maendeleo na ustawi wa hao watoto itamkabidhi baba. Pia mahakama itasikiliza maoni ya hao watoto walio na umri zaidi ya miaka Saba wao wanataka kuishi upande upi na Kwa Nini wachague upande huo
Wee ni mjinga kumbee...mtoto siku zote ni wamama kuwaba ubini ni sheria na taratib zilivyo sio kwamba eti kisa ubini wako mtoto wa baba sio kwel aliyomzaa ndo mwenye mtoto[emoji23]
Pole kwa uliyopitia ila kwa hii coment yako hapo inaonyesha wewe ni miongoni mwa wanawake jeuri sana na wakujifanya wajuaji huku hawana lolote labda kama umecomment bila kufikiri.mtoto siku zote ni wamama kuwaba ubini ni sheria na taratib zilivyo sio kwamba eti kisa ubini wako mtoto wa baba sio kwel aliyomzaa ndo mwenye mtoto[emoji23]