AFRICAN POWER
Senior Member
- Jun 17, 2022
- 151
- 234
Habari za leo wana JF wenzangu.
Hivi raia akitoa taarifa za uhalifu kwa siri katika maeneo yake kwa mamlaka inayohusika na kupokea taarifa hizo, akakuta taarifa ile imesambazwa na mpokea taarifa kuwa fulani yupo hivi na vile ndiye aliyetoa taarifa hizi kuwa wewe fulani ni mhalifu.
Je, mtoa taarifa ana haki ya kumchukulia hatua yule mpokea taarifa mwenye mamlaka ya kulinda taarifa za siri za uhalifu kwa kuzisambaza na kuhatarisha usalama wa mtoa taarifa?
Hivi raia akitoa taarifa za uhalifu kwa siri katika maeneo yake kwa mamlaka inayohusika na kupokea taarifa hizo, akakuta taarifa ile imesambazwa na mpokea taarifa kuwa fulani yupo hivi na vile ndiye aliyetoa taarifa hizi kuwa wewe fulani ni mhalifu.
Je, mtoa taarifa ana haki ya kumchukulia hatua yule mpokea taarifa mwenye mamlaka ya kulinda taarifa za siri za uhalifu kwa kuzisambaza na kuhatarisha usalama wa mtoa taarifa?