Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fursa za kusoma nje zinaanzia baada ya kuitimu kidato cha sita wakati unatafuta vyuo! Wizara ya elimu sayansi na technolojia na elimu ya juu wanahusika saana nenda au tembelea website zao. Hila nadhani mleta mada kamaliza kidato cha nne anaanza kuwaza kusoma nje! Too early bro!Nina ndoto ya kusoma nje ya nchi naombeni ushauri kwa wale mliowahi kunufaika na full funded scholarship.
Mliwezaje na vitu gani nianze kujiandaa navyo ili niweze kupata na mimi nitimize ndoto yangu?๐๐
Ni ukweli lakn siku zote tunafaa kujiandaa mapema coz combetion ni nzitoFursa za kusoma nje zinaanzia baada ya kuitimu kidato cha sita wakati unatafuta vyuo! Wizara ya elimu sayansi na technolojia na elimu ya juu wanahusika saana nenda au tembelea website zao. Hila nadhani mleta mada kamaliza kidato cha nne anaanza kuwaza kusoma nje! Too early bro!