Fursa za kusoma nje zinaanzia baada ya kuitimu kidato cha sita wakati unatafuta vyuo! Wizara ya elimu sayansi na technolojia na elimu ya juu wanahusika saana nenda au tembelea website zao. Hila nadhani mleta mada kamaliza kidato cha nne anaanza kuwaza kusoma nje! Too early bro!