Sasa usajili umefika F mkuu T×××F××Si unaangalia gari ambazo zilisajiliwa sambamba na hio, gari namba DE ziliingia mtaani mwaka 2015!
Ni sawa na sahizi usajili wa magari tupo plate number T ××× DTF ni mwaka 2020! Sasa mtu mnamo mwaka 2025 aje aseme gari hio inauzwa na imetumika mwaka mmoja tu wakati usajili wa gari pengine zitakuwa ziko kwenye T xxx DZZ hapo utaona correlation ya usajili wa mwaka uliopita against uliopo hauwiani.
Hio gari ingekuwa na usajili wa DQ atleast ingemake sense. Maana gari za DQ zilianza kutoka mwezi kama huu last year. Mpaka kufikia December tukawa tumefikia DR
Si unaangalia gari ambazo zilisajiliwa sambamba na hio, gari namba DE ziliingia mtaani mwaka 2015!
Ni sawa na sahizi usajili wa magari tupo plate number T ××× DTF ni mwaka 2020! Sasa mtu mnamo mwaka 2025 aje aseme gari hio inauzwa na imetumika mwaka mmoja tu wakati usajili wa gari pengine zitakuwa ziko kwenye T xxx DZZ hapo utaona correlation ya usajili wa mwaka uliopita against uliopo hauwiani.
Hio gari ingekuwa na usajili wa DQ atleast ingemake sense. Maana gari za DQ zilianza kutoka mwezi kama huu last year. Mpaka kufikia December tukawa tumefikia DR
Sasa usajili umefika F mkuu T×××F××
Hizo namba ni za mwaka 2014 kama sio 2015Hizo namba siyo za mwaka jana mkuu
Nimeuza gari 2018 mwezi wa 5 namba DJJ nilishaitumia miaka mi2 na miezi mi3 na ilishatumika miezi 6 tangu ipate usajili.Unaijuaje sasa mkuuu au zipo alfabetical au ipoje
Hahahah tuko makini sana mkuu!Dah.. mna kumbukumbu balaa,niliagiza IST ikafika July 2015 ikasajiliwa kwa no hizo DEK
Zipo kaka yani passo, vits na suzuki wanazo gari za piston 3!kumbe kuna vya pistone 3 😆😆😅😅😅
Hivyo vidude wanapoteza pesa tuZipo kaka yani passo,vits na suzuki wanazo gari za piston 3!
Ukiona Toyota engine code ni 1KR ujue piston 3 hio, kelele ndio kwao humo kama vile Chainsaw au Blender ya kenwood! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu comment kuhusu nissan FUGAZipo kaka yani passo,vits na suzuki wanazo gari za piston 3!
Ukiona Toyota engine code ni 1KR ujue piston 3 hio, kelele ndio kwao humo kama vile Chainsaw au Blender ya kenwood! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
FUGA ni full mahaba mle 🤣🤣🤣❕ Ukizungumzia gari basi huwezi acha kuongelea chuma kama Fuga. Mle mjapani alitulia sana nadhani baada ya kula birian ya kijapan na kushiba. Yani ukipanda mara ya kwanza unaweza hisi hamna starehe kwenye gari nyingine isipokuwa mle tu.ebu comment kuhusu nissan FUGA
Kwahiyo crow brevis markx alteza kwa fuga hawafuatii?FUGA ni full mahaba mle 🤣🤣🤣❕ Ukizungumzia gari basi huwezi acha kuongelea chuma kama Fuga. Mle mjapani alitulia sana nadhani baada ya kula birian ya kijapan na kushiba. Yani ukipanda mara ya kwanza unaweza hisi hamna starehe kwenye gari nyingine isipokuwa mle tu.
Crown ndio walau inaendana kistarehe na mnyama Fugakwahiyo crow brevis markx alteza kwa fuga hawafuatii?
Si unaangalia gari ambazo zilisajiliwa sambamba na hio, gari namba DE ziliingia mtaani mwaka 2015!
Ni sawa na sahizi usajili wa magari tupo plate number T ××× DTF ni mwaka 2020! Sasa mtu mnamo mwaka 2025 aje aseme gari hio inauzwa na imetumika mwaka mmoja tu wakati usajili wa gari pengine zitakuwa ziko kwenye T xxx DZZ hapo utaona correlation ya usajili wa mwaka uliopita against uliopo hauwiani.
Hio gari ingekuwa na usajili wa DQ atleast ingemake sense. Maana gari za DQ zilianza kutoka mwezi kama huu last year. Mpaka kufikia December tukawa tumefikia DR
Mwishoni lakiniDecember ilikuwa DS
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa Hiyo Muhindi kasema tulenge ama anapanda nayo Ndege?
hongerq, umeitunza sana.Gari yangu ni DKM nimeisajili 2017 iweje DEK iwe ya 2019?
Kama alivyosema mkuu Extrovert hiyo imesajiliwa 2015 so 3-4m inamtosha kabisa.View attachment 1420661
Au mods mnasemaje?
Asante sana mkuuhongera, umeitunza sana.