Msaada: Naombeni kujua bei ya hii gari inatakiwa kuuza bei gani

Msaada: Naombeni kujua bei ya hii gari inatakiwa kuuza bei gani

Si unaangalia gari ambazo zilisajiliwa sambamba na hio, gari namba DE ziliingia mtaani mwaka 2015!

Ni sawa na sahizi usajili wa magari tupo plate number T ××× DTF ni mwaka 2020! Sasa mtu mnamo mwaka 2025 aje aseme gari hio inauzwa na imetumika mwaka mmoja tu wakati usajili wa gari pengine zitakuwa ziko kwenye T xxx DZZ hapo utaona correlation ya usajili wa mwaka uliopita against uliopo hauwiani.

Hio gari ingekuwa na usajili wa DQ atleast ingemake sense. Maana gari za DQ zilianza kutoka mwezi kama huu last year. Mpaka kufikia December tukawa tumefikia DR
Sasa usajili umefika F mkuu T×××F××
 
December tulikua DS
Si unaangalia gari ambazo zilisajiliwa sambamba na hio, gari namba DE ziliingia mtaani mwaka 2015!

Ni sawa na sahizi usajili wa magari tupo plate number T ××× DTF ni mwaka 2020! Sasa mtu mnamo mwaka 2025 aje aseme gari hio inauzwa na imetumika mwaka mmoja tu wakati usajili wa gari pengine zitakuwa ziko kwenye T xxx DZZ hapo utaona correlation ya usajili wa mwaka uliopita against uliopo hauwiani.

Hio gari ingekuwa na usajili wa DQ atleast ingemake sense. Maana gari za DQ zilianza kutoka mwezi kama huu last year. Mpaka kufikia December tukawa tumefikia DR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo kaka yani passo,vits na suzuki wanazo gari za piston 3!

Ukiona Toyota engine code ni 1KR ujue piston 3 hio, kelele ndio kwao humo kama vile Chainsaw au Blender ya kenwood! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu comment kuhusu nissan FUGA
 
ebu comment kuhusu nissan FUGA
FUGA ni full mahaba mle 🤣🤣🤣❕ Ukizungumzia gari basi huwezi acha kuongelea chuma kama Fuga. Mle mjapani alitulia sana nadhani baada ya kula birian ya kijapan na kushiba. Yani ukipanda mara ya kwanza unaweza hisi hamna starehe kwenye gari nyingine isipokuwa mle tu.
 
FUGA ni full mahaba mle 🤣🤣🤣❕ Ukizungumzia gari basi huwezi acha kuongelea chuma kama Fuga. Mle mjapani alitulia sana nadhani baada ya kula birian ya kijapan na kushiba. Yani ukipanda mara ya kwanza unaweza hisi hamna starehe kwenye gari nyingine isipokuwa mle tu.
Kwahiyo crow brevis markx alteza kwa fuga hawafuatii?
 
Si unaangalia gari ambazo zilisajiliwa sambamba na hio, gari namba DE ziliingia mtaani mwaka 2015!

Ni sawa na sahizi usajili wa magari tupo plate number T ××× DTF ni mwaka 2020! Sasa mtu mnamo mwaka 2025 aje aseme gari hio inauzwa na imetumika mwaka mmoja tu wakati usajili wa gari pengine zitakuwa ziko kwenye T xxx DZZ hapo utaona correlation ya usajili wa mwaka uliopita against uliopo hauwiani.

Hio gari ingekuwa na usajili wa DQ atleast ingemake sense. Maana gari za DQ zilianza kutoka mwezi kama huu last year. Mpaka kufikia December tukawa tumefikia DR

December ilikuwa DS
 
Ml 3 ya kuanzia mwisho ml2.5



Si unajua tena ata bajaji za siku izi zina ya kukingia mvua so bei hazi pishani sana
 
Back
Top Bottom