Msaada: Naombeni mnifunze ku - multi Quote

Msaada: Naombeni mnifunze ku - multi Quote

Da'Vinci ni rahisi tuu
Ssa naruka(funga quote hapa)

Toa comment yako hapa

Kisha fungua quote
nafasi au nisiruke...?
Screenshot_20180120-094841.png
 
Nenda kwenye uzi unaoutaka kisha ufungue halafu bonyeza kama unacopy maneno ya hapo. Yatatokea haya maandishi
IMG_20180121_134311.jpg

Chagua copy page url. Halafu nenda sehemu uitakayo kisha click kwa kupaste utakua tayar umeweza kuweka link.

Kama hivi

Msaaada: Naombeni mnifunze ku - multi Quote

Jaribu hapa nione kama nimeweza kukuelekeza vizuri
Enheee hapahapa Numbisa Namimi naomba unielekeze jinsi ya kuweka link ya uzi kwenye comment



Cc Smart911
 
Palantir nielekeze nikitaka kuchukua coment flani kutoka uzi flani kupeleka uzi mwingine nafanyaje? Sio Copy and Paste. Labda Comment flani nataka niichukue niwrke pale juu kwenye thread
 
Back
Top Bottom