Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Ni wataalam na wenye hekima tuu ndo watashsuri wewe soma komenti tuuUnataka tukushauri nini hapa?
Anyways kwa kukushauri cha muhimu kwa sasa ni hakikisha unakula vyakula vyenye protini na virutubisho, hakikisha unapata mazoezi ya kutosha na muda wa kupumzika. Ukiweza kutusaidia kuandika wosia na labda kuchagua aina ya jeneza na sehemu ya mazishi tutashukuru sana maana combination ya kufanya mara 6 kwa wiki plus michubuko katika uume plus kubadilisha wanawake mara hii huzaa ngwengwe
Nilikua mtu wa dini toka utoto ila ghafla nimepoteza imani na maisha yangu ndo yamefikia hapaKuwa karibu na ibada.Utanishukuru baadae
Ndo njia sahihi ana pepo la ngono.Kuwa karibu na ibada.Utanishukuru baadae
Ndoa ilishakufaga ndo nimeishia hukuOa mkuu hilo pepo la ngono limekuvamia, hiyo mara nne mpaka sita kwa wiki maana yake unafanya na wanawake tofauti tofauti ni hatari hiyo
Sawa mkuu mimi sina utaalamu wa kubadilisha aina za wanawake, kufanya nao aina tofauti za wanawake mara 6 kwa wiki na kuchubuka uume . Ngoja nibaki nasoma comment, shukrani sanaNi wataalam na wenye hekima tuu ndo watashsuri wewe soma komenti tuu
Jamaa kanishtua anasema michubuko af mademu tofauti tofaut ilo ni pepo la ngono.Unataka tukushauri nini hapa?
Anyways kwa kukushauri cha muhimu kwa sasa ni hakikisha unakula vyakula vyenye protini na virutubisho, hakikisha unapata mazoezi ya kutosha na muda wa kupumzika. Ukiweza kutusaidia kuandika wosia na labda kuchagua aina ya jeneza na sehemu ya mazishi tutashukuru sana maana combination ya kufanya mara 6 kwa wiki plus michubuko katika uume plus kubadilisha wanawake mara nyingi hii huzaa ngwengwe
Mhhh pepo inamaana nikiombewa mtapiga makelele?Ndo njia sahihi ana pepo la ngono.
Na hekima huna??Sawa mkuu mimi sina utaalamu wa kubadilisha aina za wanawake, kufanya nao aina tofauti za wanawake mara 6 kwa wiki na kuchubuka uume . Ngoja nibaki nasoma comment, shukrani sana
Tatizo hilo, jini mahaba anakupelekeshaNdoa ilishakufaga ndo nimeishia huku
Nachukua ushauri napambana naoJ
Jamaa kanishtua anasema michubuko af mademu tofauti tofaut ilo ni pepo la ngono.
Pole Sana Kwa hilo jambo Hapo tatizo lipo ndani yako ,kikawaida kitu ukikipa nguvu na chenyewe kina respond kwa kuendelea kukua day after dayHabari wataalam na wenye hekima,
Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.
Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.
Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.
Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!!!
Tafdhali msaada plz
Sijui ila kivyovyote vile ninakuzidi hekima. Hata kama ninayo ndogo kiasi gani ila kwa huo mtindo wako wa maisha ninakuzidi hekimaNa hekima huna??
Jin mahaba naskia unakosa hamu sa kwangu tofautiTatizo hilo, jini mahaba anakupelekesha
Hayajakukuta ndo mana unasema ivo ila hekima ingekusaidia namna ya kukomentSijui ila kivyovyote vile ninakuzidi hekima. Hata kama ninayo ndogo kiasi gani ila kwa huo mtindo wako wa maisha ninakuzidi hekima