Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #41
Natafuta msaadaToo much of anything is harmful.
UZINZI SIO SIFA....!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta msaadaToo much of anything is harmful.
UZINZI SIO SIFA....!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Fanya mazoezi na tafuta Hela kama umeajiriwa jiajiri hamu ya ngono itapungua pengine kuisha kabisa utakapo anza kufikiri namna ya kupanua biashara,Kupata hamu ya ngono ni uzembe wa akili kushindwa kuwaza kizazi chako unakiachia Nini.Habari wataalam na wenye hekima,
Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.
Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.
Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.
Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!
Tafdhali msaada plz
Au akakope kwenye hizi Microfinance.....Fanya mazoezi na tafuta Hela kama umeajiriwa jiajiri hamu ya ngono itapungua pengine kuisha kabisa utakapo anza kufikiri namna ya kupanua biashara,Kupata hamu ya ngono ni uzembe wa akili kushindwa kuwaza kizazi chako unakiachia Nini.
Case closedUnataka tukushauri nini hapa?
Anyways kwa kukushauri cha muhimu kwa sasa ni hakikisha unakula vyakula vyenye protini na virutubisho, hakikisha unapata mazoezi ya kutosha na muda wa kupumzika.
Ukiweza kutusaidia kuandika wosia na labda kuchagua aina ya jeneza na sehemu ya mazishi tutashukuru sana maana combination ya kufanya mara 6 kwa wiki plus michubuko katika uume plus kubadilisha wanawake mara nyingi hii huzaa ngwengwe
Aisee hapo panaweza pelekea ukaja kosa hisia. Yaani dude linaweza kuwa kama mti tu., hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.
Ahsante kwa ushauri naufanyia kazi mkuuAisee hapo panaweza pelekea ukaja kosa hisia. Yaani dude linaweza kuwa kama mti tu.
Makovu ya muda mrefu yanapeleiea sense nerve za hapo kwenye uume kufa.
Na ndio maaana hupati hisia.
Sasa take tahadhari.
Kama una mwanamke ana mavuzi mengi yametapakaa eneo lake lote inachangia sana kukuchana sehemu yako na kukuletea makovu na maimivu.
Hali hio ikiendelea ukija vaa salama kwa mwanamke mwingine ngoma itagoma kuamka, hapo ndio tatizo la erect disfunction linapoanzia.
Kuwa makini sana na hayo makovu utapoteza kile mungu alichokupa.
In a long run utakuwa unapiga kimoja hurudii tena.
Aina nyingine ya michubuko sina majibu nayo madokta watakujibu ila hilo la juu nimefanyia utafiti mwenyewe na
Kuongezea kama unafanya kujichua acha, maana inachangia kuchubua uume.
DasalamaUko wapi
Andika vizuri nielewe basiwenda dopuline inashinda, tafuta videinge vya b.complexes umeze kula na mayai
Huu ushauri si mzuri na hali hii hamna safe matchMzee we fanya kadri uwezavyo zingatia tu misosi ya kueleweka protini nyingiii then endelea na safe match, kama wapo wakukupa mara zote hizo we endelea tu muhimu Msosi maana utakua 1
Sioni ushauri hapaKula vyakula vya protein sana ila usiache kupiga miti
Nnayo madeni mzee lakin wapAu akakope kwenye hizi Microfinance.....
Tofaut yangu nikiwa na changamoto ndo nawaka kinoma mpaka navurugwa... bile show akili haifanyi kaz yaan ni kama stimu ya kujiboostFanya mazoezi na tafuta Hela kama umeajiriwa jiajiri hamu ya ngono itapungua pengine kuisha kabisa utakapo anza kufikiri namna ya kupanua biashara,Kupata hamu ya ngono ni uzembe wa akili kushindwa kuwaza kizazi chako unakiachia Nini.
SanaOa mkuu hilo pepo la ngono limekuvamia, hiyo mara nne mpaka sita kwa wiki maana yake unafanya na wanawake tofauti tofauti ni hatari hiyo.
Eeeh!!Nnayo madeni mzee lakin wap
Kesho tuonane, saa kumi jioni....floor ya pili 304Dasalama