Msaada: Napata hamu sana ya kujamiana kuliko raha ya tendo lenyewe

Msaada: Napata hamu sana ya kujamiana kuliko raha ya tendo lenyewe

Habari wataalam na wenye hekima,

Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.

Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.

Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.

Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!!!

Tafdhali msaada plz
nadhani una tatizo. yaani kwa wiki nzima unafanya mara 4 au 6 tu? the whole week? sijui kama umeoa. ila kama umeoa unalala nayo pembeni yako hapo, sisi wenzio usiku kabla ya kulala (1), amka na bbc asubuhi (2), approximately fanya kwa wiki moja umeamua kuahirisha siku mbili, unabaki na 5. 5 x 2 = 10. Wenzio tunafanya sio chini ya mara 10 kwa wiki. ndo maana tunasema vijana oeni ili muwe na chakula pembeni yenu all the time. yaani tunakuja tu kupumzika saana zile siku tatu au nne wakiwa period, nazo tunaona nyingi kwelikweli.
 
Habari wataalam na wenye hekima,

Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.

Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.

Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.

Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!!!

Tafdhali msaada plz
Mkuu pole sana!
Ni tatizo linalowakumba vijana wengi kwa sasa!
Sababu zinaweza zikawa mbili...

Ya kwanza ni katika ukuaji wako ulitumia sana Punyeto kama kitulizo cha roho..Hivyo unaona kama hakuna kinachoweza kukupa Raha kuzidi mkono...

Cha pili kubadilisha wanawake wengi kwa muda mfupi au kuwa na wanawake wengi kunaongeza Wigo mpana wa kukaribisha maagano Na Roho zenye uchafu katika mwili wako...
Kwa sababu tendo la Ndoa huwa ni ufunguo mkubwa wa ulimwengu wa kiroho..kadri unavyoufungua kwa Watu tofauti kila mmoja huwa na Uchafu wake hivyo unaweza kuwa umechukua mabaya ya watu bila kujua...

Cha msingi kama wewe ni Muislamu au mkristo au mbudha au Mhindu tumia Dini yako kuomba kuondolewa mabaya hayo...

Lakini kama unaamini katika nature Tumia chumvi ya mawe kuogea na tumia Sulphur (Kibiriti) kuchoma ndani ili kuondoa maagano hao au wengine huita mapepo nakuhakikishia utapona
 
nadhani una tatizo. yaani kwa wiki nzima unafanya mara 4 au 6 tu? the whole week? sijui kama umeoa. ila kama umeoa unalala nayo pembeni yako hapo, sisi wenzio usiku kabla ya kulala (1), amka na bbc asubuhi (2), approximately fanya kwa wiki moja umeamua kuahirisha siku mbili, unabaki na 5. 5 x 2 = 10. Wenzio tunafanya sio chini ya mara 10 kwa wiki. ndo maana tunasema vijana oeni ili muwe na chakula pembeni yenu all the time. yaani tunakuja tu kupumzika saana zile siku tatu au nne wakiwa period, nazo tunaona nyingi kwelikweli.
Sijahesabu round apo nimehesabu days tuu, ukitaka ujue nani anafanya saana sishindani ila ukweli natumia masaa machache kulala maana demu naamsha nae mpaka asubuhi bila round 3 akukuchi thus why nateseka na frictions....
Hata hivyo sio lengo hili lengo nataka kuacha
 
Mkuu pole sana!
Ni tatizo linalowakumba vijana wengi kwa sasa!
Sababu zinaweza zikawa mbili...

Ya kwanza ni katika ukuaji wako ulitumia sana Punyeto kama kitulizo cha roho..Hivyo unaona kama hakuna kinachoweza kukupa Raha kuzidi mkono...

Cha pili kubadilisha wanawake wengi kwa muda mfupi au kuwa na wanawake wengi kunaongeza Wigo mpana wa kukaribisha maagano Na Roho zenye uchafu katika mwili wako...
Kwa sababu tendo la Ndoa huwa ni ufunguo mkubwa wa ulimwengu wa kiroho..kadri unavyoufungua kwa Watu tofauti kila mmoja huwa na Uchafu wake hivyo unaweza kuwa umechukua mabaya ya watu bila kujua...

Cha msingi kama wewe ni Muislamu au mkristo au mbudha au Mhindu tumia Dini yako kuomba kuondolewa mabaya hayo...

Lakini kama unaamini katika nature Tumia chumvi ya mawe kuogea na tumia Sulphur (Kibiriti) kuchoma ndani ili kuondoa maagano hao au wengine huita mapepo nakuhakikishia utapona
Siwezi kupinga katika hili.......... ila hapo kwenye imani najikuta sina hata moja sijui natokaje hapo
 
nadhani una tatizo. yaani kwa wiki nzima unafanya mara 4 au 6 tu? the whole week? sijui kama umeoa. ila kama umeoa unalala nayo pembeni yako hapo, sisi wenzio usiku kabla ya kulala (1), amka na bbc asubuhi (2), approximately fanya kwa wiki moja umeamua kuahirisha siku mbili, unabaki na 5. 5 x 2 = 10. Wenzio tunafanya sio chini ya mara 10 kwa wiki. ndo maana tunasema vijana oeni ili muwe na chakula pembeni yenu all the time. yaani tunakuja tu kupumzika saana zile siku tatu au nne wakiwa period, nazo tunaona nyingi kwelikweli.

Acha utani basi
Utani gan mkuu nafikiri umesoma vyema mfalme suleimani hapo juu mkuu ye anasema nizaid ya mar 10
We bado sana mi per day ni mara mbil hadi tatu nikiwa weekend basi ni mara nne kijana we bado yusufu saana🤣
 
Utani gan mkuu nafikiri umesoma vyema mfalme suleimani hapo juu mkuu ye anasema nizaid ya mar 10
We bado sana mi per day ni mara mbil hadi tatu nikiwa weekend basi ni mara nne kijana we bado yusufu saana🤣
Nyie wachumba tuu kuna wiki na gonga 3*7 sasa sijui mnataka tushindane kwa kipi hili sio lengo maana najua hamuinjoi bali mnateseka tuu kama mm
 
Pepo la ngono linakupela linakupela mpaka kwenye shimo , ukimwaga tu linakurudishia akili zako. Unaanza kujilaumu
 
Utani gan mkuu nafikiri umesoma vyema mfalme suleimani hapo juu mkuu ye anasema nizaid ya mar 10
We bado sana mi per day ni mara mbil hadi tatu nikiwa weekend basi ni mara nne kijana we bado yusufu saana🤣
hiyo mara hatumaanishi kwamba unapiga kimoja, No, ni vipindi vya kuingia kiwanjani. kipindi cha asubuhi unapoamka na jioni unapolala. hivyo kwa siku ni vipindi viwili (na mabao kadhaa), kwahiyo vipindi viwili kwa siku mara siku tano ni vipindi 10. wewe umeishia 6 na unaona kama upo sawa.
 
Sijahesabu round apo nimehesabu days tuu, ukitaka ujue nani anafanya saana sishindani ila ukweli natumia masaa machache kulala maana demu naamsha nae mpaka asubuhi bila round 3 akukuchi thus why nateseka na frictions....
Hata hivyo sio lengo hili lengo nataka kuacha
hata mimi sikusema rounds. ila vipindi vya kuingia uwanjani. kipindi kimoja asubuhi unapoamka ili akili ikae fresh (hapo unapiga bao moja au mbili), kipindi cha pili jioni unapokuja kulala (bao moja au mbili). kwahiyo kwa siku ukiwa na vipindi 2, mara siku 5, utakuwa na vipindi vya kuingia kwenye game 10. nimeona nikufafanulie ili ujijue kuwa bado unahitaji msaada. hizo siku 2 nimeacha researve tu ila nazo sio kwamba utaenda bure.
 
Back
Top Bottom