Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #61
Una dawa unataka kunipa??Kesho tuonane, saa kumi jioni....floor ya pili 304
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una dawa unataka kunipa??Kesho tuonane, saa kumi jioni....floor ya pili 304
Nikajidhalilishe au sio??Mwone mwamposa...hilo ni Pepo
Ndio, moja mara mojaUna dawa unataka kunipa??
Acha kutumia MKONGO unasababisha ganzi.Habari wataalam na wenye hekima,
Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.
Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.
Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.
Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!
Tafdhali msaada plz
Umekariri sio???Acha kutumia MKONGO unasababisha ganzi.
dopuline ni homoni ina tolewa na ubongo ili mtu ajiskie kiridhika na jambo fulani, neuron disorder inaweza pelekea kupungua kwa brain senstivity ya iyo homoni so unaeza fikia mshindo lakin ukaona mbona sio kama last time, sasa. vitamin B role yake kubwa inasaidia kurepair neurons nunua bcomplexes as supplement then kula yai moja asubuhi na jion kwa siku saba unywe maji mengi ulale 8 hoursAndika vizuri nielewe basi
Hapa nimekuelewa zaidi ahsante saanadopuline ni homoni ina tolewa na ubongo ili mtu ajiskie kiridhika na jambo fulani, neuron disorder inaweza pelekea kupungua kwa brain senstivity ya iyo homoni so unaeza fikia mshindo lakin ukaona mbona sio kama last time, sasa. vitamin B role yake kubwa inasaidia kurepair neurons nunua bcomplexes as supplement then kula yai moja asubuhi na jion kwa siku saba unywe maji mengi ulale 8 hours