Msaada: Napata hamu sana ya kujamiana kuliko raha ya tendo lenyewe

Msaada: Napata hamu sana ya kujamiana kuliko raha ya tendo lenyewe

Habari wataalam na wenye hekima,

Hivi karibuni nimekua na hamu saana ama addicted na tendo la ndoa, na nimekua nikifanya karibu mara 4 mpaka 6 kwa wiki.

Hali imeanza kubadilika kwenye kiwango cha manii kupungua na kuchukua mda mrefu kufikia mshindo, hatakipelekea michubuko inayoacha makovu kwenye uume wangu.

Uwezo wa performance hauja pungua zaidi kuimarika tatizo linakuja sisikii raha tena nikiwa katika tendo, yaani sometimes naona ka sikufanya kitu kile nilichokitegemea sikukiskia kabisa.

Nimejaribu kubadilisha aina za wanawake wembamba kwa wanene wap!

Tafdhali msaada plz
Acha kutumia MKONGO unasababisha ganzi.
 
Andika vizuri nielewe basi
dopuline ni homoni ina tolewa na ubongo ili mtu ajiskie kiridhika na jambo fulani, neuron disorder inaweza pelekea kupungua kwa brain senstivity ya iyo homoni so unaeza fikia mshindo lakin ukaona mbona sio kama last time, sasa. vitamin B role yake kubwa inasaidia kurepair neurons nunua bcomplexes as supplement then kula yai moja asubuhi na jion kwa siku saba unywe maji mengi ulale 8 hours
 
dopuline ni homoni ina tolewa na ubongo ili mtu ajiskie kiridhika na jambo fulani, neuron disorder inaweza pelekea kupungua kwa brain senstivity ya iyo homoni so unaeza fikia mshindo lakin ukaona mbona sio kama last time, sasa. vitamin B role yake kubwa inasaidia kurepair neurons nunua bcomplexes as supplement then kula yai moja asubuhi na jion kwa siku saba unywe maji mengi ulale 8 hours
Hapa nimekuelewa zaidi ahsante saana
 
Back
Top Bottom