Msaada: Nashindwa kupakuwa movies

Msaada: Nashindwa kupakuwa movies

Mi nat
Tumia vpn ..Kama unatumia computer jaribu kucancel zile page likija tu tangazo ili urudi kule kwa awali .
mi natumia simu kwahyo vpn yoyote inaweza kufanya kazi ya kublock ads
 
Napata shida sana kwenye kupakua movie kwenye website ya www.netnaija.com, yaani unaanza vizuri tu lakini ukishafika kwenye sehemu ya kupakua muvi na subtitle ukishapress tu ili ikupeleke kwenye file la subshare inakuwa kinyume chake wanakupeleka kwenye mabeting mara mdundo na ma ads mengine ya hovyo. Lakini kipindi fulani nilikuwa napakuwa fresh tu. Sijajua tatizo nini?
Wezako wazipike we uzipakue tu Bure bure
 
Kama unatuma smart phone ingia google store kuna application inaitwa TERTROID
 
Napata shida sana kwenye kupakua movie kwenye website ya www.netnaija.com, yaani unaanza vizuri tu lakini ukishafika kwenye sehemu ya kupakua muvi na subtitle ukishapress tu ili ikupeleke kwenye file la subshare inakuwa kinyume chake wanakupeleka kwenye mabeting mara mdundo na ma ads mengine ya hovyo. Lakini kipindi fulani nilikuwa napakuwa fresh tu. Sijajua tatizo nini?
Imenisumbua sanaa na bado sijakaa nika upload
 
Back
Top Bottom