Dawa za mitishamba au hospital??Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndo halo yazidi kuwa mbaya.
Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana akn mpaka sasa nisha kuwa dhaifu ata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.
Naombeni msaada jamani nateseka sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Umemaliza.... halafu nyeto inatumika kama scapegoat tu ila akili zao ndo tatizo.Maelezo hayajitoshelezi !
Haisimami kabisa ama haina nguvu ?
Ni mwanachama wa chaputa ? If yes acha kabisa!
Una mwanamke/Dem/mchumba ?
Kama unae, usishiriki nae,,,,
Kula vzr, fanya mazoez Kama mwezi alafu tafuta mwanamke Malaya wa kununua,,, fanya nae,,, huyo hata usipoperfom Hana habari yeye anaangalia hela,,, huko kwa Malaya ndo utapata confidence, ukikaa sAwa Rudi kwa mtu wako !
Naona Ni psychology tu, una hofu kwamba ukifeli utaaibika ! Pole mkuu
πHv mtu unakuaje huna nguvu za kiume, anyway nyeto mnaionea tu
Hiyo psychology unayosema inachukua asilimia 2 kati ya asilimia 100. Asilimia nyingine zote ni tatizo linalo hitaji tiba halisi.Hebu twende taratibu mkuu. Hizo dawa ulikuwa unapewa hospital au? Ni dawa gani?
Kutosimama kwa uume mara nyingi ni psychology reasons zaidi kuliko hiyo assumption ya kutokuwa na nguvu za kiume
Punyeto ni hali halisi na ina uharibifu mkubwa kwa mtu anayefanya.Hv mtu unakuaje huna nguvu za kiume, anyway nyeto mnaionea tu
Njoo inbox tafadhali.Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndo halo yazidi kuwa mbaya.
Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana akn mpaka sasa nisha kuwa dhaifu ata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.
Naombeni msaada jamani nateseka sana.
ππππππ
Peter; weka simu yako ili upewe ushauri wa suluhisho la tatizo lako. Hilo sio tatizo tena.Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndo halo yazidi kuwa mbaya.
Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana akn mpaka sasa nisha kuwa dhaifu ata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.
Naombeni msaada
Kimekua ni kichaka Cha kujifichiaHv mtu unakuaje huna nguvu za kiume, anyway nyeto mnaionea tu
Kama huna nguvu za kiume Huna tu watu wanasingizia punyeto lakin unakuta ni tatizo la kuzaliwa mtu tokea akiwa mdogo jogoo anawika kwa mbinde lakin anasingizia punyeto, sitetei punyeto hapanaPunyeto ni hali halisi na ina uharibifu mkubwa kwa mtu anayefanya.
Nguvu za kiume ni pamoja na jogoo kuwika Zaid ya Mara tatu kwa siku, asubuhi, mchana na usiku kabla hujalala kwa mwanaume rijali lazima jogoo awike hiyo mida hapo huwazii hata mapenziUnajua maana ya nguvu za kiume