MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Duuh ebhana kwanza pole sana ilianza mda gani je hakunanmtu uliyemkosea kuna wengine wanakufunga kiuchawi mashine isimame abadani usikimbilie tu kubwia madawa unajiharbu bora utumie supplement kwa sababu hazi madhara ya moja moja km ilivyo kua presicription medicine. pole saba pole sana jarbu kuangalia upande wa pili hata hawa wanawake nao ni chanzo unakuata anakufunga babu husimami abadani labda umeze midawa sasa sio maisha unakuja kuathirika kisaikolojia.Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndo halo yazidi kuwa mbaya.
Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana akn mpaka sasa nisha kuwa dhaifu ata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.
Naombeni msaada jamani nateseka sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]